999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Me .nimejilalia zangu hapa sitaki shida
Mishenyento tunatuma huko huko kitandani kwakoMe .nimejilalia zangu hapa sitaki shida
Sterling ndio hovyo kabisaUnataka ubingwa ukiwa na sterling na harvetz
Kwan ngap huko mkuu 😎Huu moto tunaowapelekea hawa non stop halafu wanataka kututangulia kimuujiza. Yale yale ya manyumbu...
Tukiwa na bahati kidogo leo kuliko ile game ya united, hawa tunawapiga hata 3-1 au 4-1Kwan ngap huko mkuu 😎
Havert mzito sana, kipindi kile Alexender isack yupo sokoni tungempata tungekuwa tumepata mali.Tunahitaji striker, sio havertz