Punda kabisa hizi ,yamwagieni moto mpaka yakimbie hiki kijiwe chaoMasingeli sio mjinga kulikimbia jukwaa lake msimu huu.
Kina Flano kazi yetu ni kuwaponda tu mawe. View attachment 3176734
Wewe ni nani?
Mimi ni mbaya wenu wa siku zote ,Kimbukiko ,mkali wa kuwasagia kunguniWewe ni nani?
Of course.we developed faith over our team but forgot to develop quality of our players.Now the real question is "Did we keep our standards higher but remained with the same quality of players over the years?"
Ligi wanaanza January Hawa. Soma maandiko Yao juu 😀😀😀Yani kila siku ni mwendo wa kupoteza point mpaka akili ziwakae sawa,,,, kuna mdau kasema hapo eti mko na standard kwa hio sie wapinzani tunaona hamustahili draw, ,,tunafurahia mkidondosha alama,,,, mnacheza kama mnapiga nyeto !
We jamaa mnafiki Sijawai ona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ni Striker mmeshapata. Tunaye mashine ya magoli. Kuweni wavumilivu dirisha la usajili lifunguliwe. Hatujawahi shindwana kwenye biashara
View attachment 3176762
Ndio shida ya kuwa na average players wakati Chelsea tunasajili kazi yenu ilikuwa Ni kupiga keleleMartinelli sijui anafanya nn humo.
Nafikiri huu ndiyo msimu ambao Everton ipo hovyo tangu niwajue, hata Hakika Ruben alivuna points tatu kwa kuwakuta hawa watu wapo hoi.
Next game baada ya kigenge cha Hakika Ruben ilikua dhidi ya Wolves and stunned football world kwa kuifunga wolves nne bila. Mechi yao na Liverpool ikaahirishwa so wamepumzika vya kutosha na bado morali ya ushindi uliopita wanayo.
Bado majeruhi wetu ni walewale. Kikosi chetu inatarajiwa Kai na Trossard kuanza, Partey bado atakosekana kwenye mid so game should be the usual. Lack of electric play and a lot of unnecessary passes
Usikute hawa wasenge ni mtu na mkewe. 🤣Arteta will even sacrifice his skipper but not Kai.
Ukiona sisi tunakupa mchezaji tafakari mara mbili mbiliNdo malipo tunayopata ya kutokuwa serious kwenye usajili.tunakuja kuletewa wakina Sterling kutoka ukengeni.
tabu sana kmammae
Watabisha tuPalmer hakupi tu goal na assist anakupa Sanaa ya mpira na huwa akai kwenye position moja utamkuta kwenye winger, katikati na sometime anashuka chini alafu Ana press na kumchezesha team kitu ambacho Saka hawezi kukupa