Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa😄
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
Wakijifanya wabishi kama nyie tutawadunda kwa hat trick ya Kona....tunahitaji sana point tatu kuliko kucheza mpira mzuri...tupo nje ya mda majirani 🤠🤠🤠