Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa😄
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
 
Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa

Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
 
😄😀😆
 
Juice ya stafeli shilingi ngapi kwa glass boss, beki 3 ni mtaalam watengeneza.
 
Hakika Ruben alivyoona tunamfuata Ureno akakimbia.

Alichokosea alikuja wakati bado hatujawapa dozi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…