Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie asenane izi goal mtaludisha lini maana mnasema sisi wabovu lakini hata goal 4 tu mjawai kutufunga.

shame on you wenger orphans.
 
Yanajisifu halafu magoli yenyewe yote ni ya kona, ni vile tu hua hamsomi bible kwenye Agano la kale magoli ya kona yote ni haramu.
Inabidi viongozi wa dini walikemee sana hili.
Pole kijana, naona umeanza kuelewa maana ya HARAM FOOTBOL πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tunacheza huku tunafundisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…