Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.
Mkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu.
Hizi kima kwanza hua hazijiamini muda wote zimesimama mkia juu kama ngiri, ukizikurupua tu kila mmoja anakimbilia chocho yake.
 
Fimbo utakazochezea j5 kama sio miguu ya stuli basi mkono
Nyumbu fans hamjaumbiwa furaha

#TUNAKUJA
 
Hivi Hamis 7 masingeli yule tapeli wa mkuranga aliishia wapi ?
Au alibadili ID kabisa ?
Maana si kawaida kuwa kimya muda wote hivi
 
A season back Spurs akimfunga City tunatwaa ubingwa.

Spurs anapigwa.

Leo, suluhu inapunguza gap la point mpaka 6.

City anapigwa.

Biblia inasema ujisaidie kabla Yeye hajatoa msaada. Ifike mahali tujitegemee sisi kama sisi tusiathiriwe na mechi za wengine.

Been saying this for ages.
 
Ikifika tarehe 4

Arsenal atacheza na united
Chelsea na Southampton
City na Nottingham

Tarehe 5
Brighton na Fulham

Arsenal, chelsea, city, Brighton na Nottingham zote zinaweza kwenda nafasi ya pili.

On paper katika wote hao ambaye anatakiwa kusubiria upinzani mkali ni Arsenal na city ikiwa ataendelea na confidence aliyonayo sasa.

So Arsenal tunaenda hapo huku Partey majeruhi, Merino majeruhi, Calafiori majeruhi, White majeruhi, Magalhaes hati hati.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sijajua arsenal lini atachukuabubingw. Kuna siku niliwahi kusema kuwa Chelsea atarudi kwenye form na kuchukua ubingwa kabla ya arsenal ambayo kila msimu yilupo on fire.....Title contender.....every year
 
Arsenyo ni kama mkia wa mbuzi, umeumbiwa kusimama juu sio kuficha uchi.
Miaka yote wataendelea kua wapenzi wasindikizaji tu, wenyewe wameridhika na makombe ya Emirates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…