Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya safi sana walcot....siaangalii mpira lakini nafuatilia hapahapa JF..Walcot leo anaonekana ametulia, mabeki wakomae tu hii mechi lazima chelsea watusome tu
 
Yaani hawa watu wa DARAJANI washapagawa.... Tungewawahi na kingine Fasta kabla hawajapoa....
 
Washachachawa hawa.... Si unaona Mapande ya Lampard????? Tungewawahi hapa hapa.....
 
All the best Arsenal..... i hope today we take another point and continue finding the title
 
Kweli ushindi unatafutwa kwa Mbinu mingi sana..... Mtu wa Body ya IVANOVIC kwenda chini kwa such a slight push????? Duh!!!!
 
Wenger angemuacha tu Walcott game imemkubali. Siku ambazo game inamkataa na anahitaji kubadilishwa Wenger anamuacha.
 
Back
Top Bottom