Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I agree, akipata feeders wazuri kama wa Arsenal, ubingwa tunachukua February
Gyokeres anatisha kaka,
Kapambana na best defence duo in the world
Katika pambano lake amaambulia dribbles , mashuti kadhaa na mwamba aligongesha .
Gyokeres ni noma

Hebu fikiria
 
Odegaard full 90 minutes kacheza games 2 tangu atoke majeruhi.

Hizo zote timu imescore kuanzia magoli 3. Kwa sasa hivi tupo nafasi ya 5 na kinachotuweka hapo ni tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Kocha wa Westham ni kama ana matatizo hajajua starting 11 na hajajua formation inayompa ushindi. Hapo hapo amekua na tabia ya kutochezesha best players nafasi zao.

Let us hope huo uchizi atakuja nao leo tena.
 
Advantage tuliyo nayo Kudus yupo suspended, kwa hiyo hachezi
 
🚨👀 Mikel Arteta on Liverpool’s super form:

“We’ve been there and to sustain it for 10 months is extremely difficult, everything has to go your way, and sadly when you think you have it, one day it collapses… it can happen at any moment and we have to be ready for that.”
 
Instagram wamemuweka Trossard kwenye post ya hii mechi.

I think tunaweza tukarudia kile kikosi cha ligi
 
Dogo Nichols ana pasi zinachana balaa.

Partey hayupo bench wala list ya sub.

Namuona Tierney bench na ananikumbusha wakati anafika, alikua mchezaji pekee anayecheza kwa moyo wote. No, qns asked.
 
Kiwior anaweza kuuzwa.

Same na Zinchenko.

Klabu inafikiria kumuongezea mkataba Partey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…