Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Najua furaha yako ipo arsenal, endelea kuenjoy
 
Soton wamecheza back passes na sideway passes mpaka mashabiki wanawapigia kelele waende mbele
Wemezingua sana, Arsenyo alishawahi kuongoza ligi kwa points 8 lakini mwisho wa msimu City akabeba kombe.
Ngoja tuone kama Liverpool nao watakaua wapuuzi kama Arsenyau.
 
Amorim anaanza na back 3

WB wake ni Mazraoui na Amad, Amad ni mzuri kwenda mbele ila defensively siyo sana.

Defensively set up ya upande wa Amad ni average kwakua Dalot ana akili ya kushambulia zaidi, Casemiro is old na Fernandes ni lawama zaidi.

Kwa kumzingatia mpinzani wao wa leo pengine ni sawa kufanya haya majaribio. Ipswich wamekua shit with only one win against Spurs
 
Wemezingua sana, Arsenyo alishawahi kuongoza ligi kwa points 8 lakini mwisho wa msimu City akabeba kombe.
Ngoja tuone kama Liverpool nao watakaua wapuuzi kama Arsenyau.
Mkikomaa kombe mnachukua hili
 
sio msimu huu, ila ukweli mchungu ni Liverpool, Chelsea na Man Utd watabeba Epl kabla ya Arsenyau.
Daah mijitu mingine bana..., toka asbh umetoa mishipa kwenye nyuzi za timu bora, umesahau kumbe chama lako bovu zaidi
 
PL tushateswa na back three kwa Conte msimu mmoja na Tuchel msimu mmoja.

Uliofuata ni vipigo tu.

Hivi karibuni Pep pia ametutesa na back three, tofauti ya Pep na hao wawili ninaona kwamba kwa Pep yeye inakua tayari shape ya timu ipo kwenye kushambulia wakati Tuchel na Conte zilikua zinatengeneza shambulio from scratch.

Pep hategemei heavily long balls na transition badale yake anafanya zaidi JDP hii ni kwakua kabla hata hajafanya back 3 identity ya Pep ni jdp hivyo physically timu ya Pep was ready kua back 3.

Ruben ana kazi ya kuitransform timu physically na instinctively iendane na back 3. La sivyo ataonekana tapeli
 
Nilisikia shabiki moja la nyumbu likisema Amorim is already a better coach than Arteta. Kwa sasa naona kama tarehe 4 ni mbali maana nna shauku ya kuliona hilo.
 
Kama arsenal ni nyoka, wewe ndio kichwa chao. Ila natumaini baada ya game ya forest nawe utapotea kabisa kama akina HENRY14 na mkorea
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
ukiachana na ukosefu wa vibe tusiposhinda, SABABU KUU ya mimi kupunguza mahudhurio humu ni mazingira niliyopo sasa. Network ni ya shida sana.

ila kama castr alivyokujibu...sisi tupo tu na timu yetu ya mabingwa katika hali zote
 
Yap.
 
Daah mijitu mingine bana..., toka asbh umetoa mishipa kwenye nyuzi za timu bora, umesahau kumbe chama lako bovu zaidi
punguza kujifariji mkuu, kocha la ball Harmorapa ameshasema ligi anaanza rasmi wiki ijayo atapokutana na Arsenyo.
Yaani baada ya hio kauli yake ghafla tu nimejikuta naanza kuwahurumia mashabiki wa Arsenyau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…