Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yamepigwa tenaaaaaaa , punda ninyi kabisa
Njooonii tuyajazie nzi hukuuuuuuuuuuuuu
 
Yamepigwa tenaaaaaaa , punda ninyi kabisa
Njooonii tuyajazie nzi hukuuuuuuuuuuuuu
 
Kuna muda mimi kama shabiki wa Man Utd nalia sana kuhusu timu yangu, ila nikiwaangalia ndugu zangu Arsenyau nabaki nacheka tu.
Masterclass tumpe miaka 7 tena huenda Covid ikarudi akatupea kombe lingine la FA.
 
Mtu na akili zako timamu kichwani, unategemea timu inayopiga shot on target 1 ndani ya Dk 90 tena dhidi ya Newcastle ndio iwe Bingwa, SERIOUS
 
Humu maneno yamepungua sababu City kafungwa, wangeshinda mngeona kila aina ya takataka inaletwa, mpira wa JF mihemko inatangulizwa mbele, No rationale behind, Some Men here behave like Gays. They chase attention like women.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…