Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta trick kids wamelambwa mbaya sana aaaah hawa wakora wameisha aise😁😁

saizi hawa hawa heshimiki tena ni kuchapwa tu🀣🀣

Ni rahaaa tupu wakubwa.
 
Piga umbwaa, ! Unataka Eipielo na Yuefa ukiwa na foward kiazi Kai ? Jesus ?

Huyo Merino mliekuwa mnampamba humu ndio yeye ama tumsubiri aje ???

Arsenal zaidi ya Saliba, Raya, Saka na Rice hakuna mchezaji mwingine yeyote wa maana, wanabahatisha na sio consistent ,,,, hata captain wenu ni wale wale maji kupwa na kujaa,,,,Leo kacheza poa kesho anaharibu,,,, Gabriel Malgh ndo jinga halina akili kabisa nguvu nyingi tu na rafu, G martinel huyu tumuache tu maana hanaga akili kabisa

Kula chuma hiko,,,, Eddie Howe anawapatia sana
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • JamiiForums-1813807638.jpeg
    56.9 KB · Views: 16
Acha kumfanisha Ten Hag na vitu vya kijinga kijinga, ukiwa na 10hag haumalizi ligi mikono mitupu, unakua na uhakika kila msimu unabeba kombe.
Tena amuombe radhi baba wa watu kanyanyua kwapa mara 2. Na kusema ukweli Ten hag alianza kufelishwa na majeruhi msimu wake wa kwanza na wa pili. Ilianza beki Luke Shaw, Malacia, Casemilo ambaye ndiye alikuwa kiungo tegemeo hapo ndipo akapoteza formation akaanza kucheza papatu papatu mradi ashinde chochote. Mimi ni Arsenal dama tesema ukweli daima fitna kwangu mwiko, Arteta must go.
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
yani wewe ndio umeona nilichokuwa nakiona mm yani kaanzisha offensive player karibu wote mbele hakuna midfielder waku balance timu ndio maana wakazidiwa nyuma na mbele napo wamezidiwa kupata hata shot on target

martinel torrsad kai saka hawa wote ni offensive player matokeo unabaki na merino Γ— rice katikat wakija kusaidiwa na inverted full back ya partey ni very risky hivo ni. labda ucheze na Iptshwi sio hawa magpies

alitakiwa mbele aache martinel kai saka kati apande partey au aanze jorgino rice partey nyuma afunge busta zincheko saliba gabby timber rb then white as sub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…