Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tulifungwa na Bournemouth Arteta alivyohojiwa akajibu

"In context we have lost once in 6 months"

Boss felt we are invincible and here we are. Usually hii ni tabia inaanza kabla ya a great fall.

Arteta ajirekebishe, some mistakes tunaweza ziona hata watazamaji. Aache ujinga
 
Predictable style of play. Hakuna plan B.

Kwani Arteta katufikisha wapi?
Well, well... Kwanza naomba ufahamu mimi ni shabiki mkubwa wa Wenger, yeye na Henry ndio walinifanya niishabikie Arsenal.

Back to the point, umesahau misimu ya mwisho kwa Wenger hata klabu bingwa tulishaisahau? Huyu katurudisha sio tu klabu bingwa, bali kwenye mbio za ubingwa kwa misimu miwili mfululizo tukishindwa kwa points kiduchu.
 
Hawezi kubadilika huyo mbishi sana.
 
Hawezi kubadilika huyo mbishi sana.
 
Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.

Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
Hongereni kwa alama 3...ama kweli this is epl wqzee. Wa boko haramu football kulikoni tena😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…