Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Tumerudi kileleniBack on top again- cammon Pompey!
Man United hawana maajabuThis time naona Uongozi mtaukalia kwa muda kama wiki mbili hvi maana game ijayo ya MAN UTD ni ngumu kwa hawawapinzani wa Jadi MAN CITY, sidhan kama wataruhusu kichapo cha mfululizo kutoka kwa vigogo wa Ligi..Ila najua hasira zote za MAN UTD zitaishia pale ving'ung'uti(machinjioni) kwenye FA cup,,pale Wenger lazima awe mdogo maana atacheza na kichapo.Huu ni mtazamo wangu tu..tungoje yatakayojiri
Ni kweli lkn why kila siku Arsenal ndio wanateleza tuNipo ndugu yangu-- bao 4 sii mchezo!
Ila bado Arsenal wanaongoza Premium!
Kuteleza sii kuanguka!
Tumebondwa na nyumbu maskiniWametuumiza leo, lakini ndio game asiyekubli kushindwa si mshindani. Duhh, walituzidi kila sehemu, mie naamini uchawi kwenye mpira upo na manchester,mnhhhhh, wakali wa nguvu za kiza.
Ni kweli saka hana mbadalaArsenal ina very small squad compared to Man U au Chelsia, si unaona wenzetu walipumzisha mastaa wao lakini bado wakaja na timu kali? realistically we cant afford to compete in three different competitions, it was a matter of choosing jana priority iwe wapi kati ya FA Cup na Champions Lg. Almunia (sick), Adebayor, Flamini, Fabregas na Cliechy wote walikua na injuries, Sagna had family problems. Sasa ilikua ni a matter of choice, tuwatumie jana na kuwakosa jumatano against Milan? Ndio maana tulikua na uchochoro beki ya kulia na kushoto, kipa bomu- they played like a bunch of alcoholics lakini matunda ya kichapo cha jana yataonekana jumatano jioni! Its going to be a different game pia tukienda tena trafford kwa mechi ya ligi.
Tutapiga comebackDakika ya 28 tumejifunga Aston Villa 1 Arsenal 0
MANU 1 Fulham 0
Tumebondwa na nyumbu maskini
Arsenal ya Mademu walikua wanacheza jana na Bayern MunichNyie wana mnazungumzia mechi gani hizo
Mbona mnaniacha njia panda
Bayern Munich ni mfupa ulioshindikana kuvunjwa na Arsenyo, sio timu ya wanaume, wanawake, wazee, watoto, walemavu, single mother mpaka timu ya wajane wa Arsenyo wakipapaswa kidogo tu na hao wajerumani wanajikuta tayari wapo kwenye shaking orgasm mode.Arsenal ya Mademu walikua wanacheza jana na Bayern Munich
Watoto wa Kino hao.Wewe ni mwanaume? Unawezaje kufikiria na kumtaja mwanaume sister?
Hatuna forward, tunachezesha kiraka tu kwa sasa.Shida sio kai kuwa kai, hata van persie hakuwa dennia berkgamp wala Thierry henry, kuna vitu anafanya unastaajabu, kuna vitu basic lazima striker awe navyo, anakosa, kuna muda anatugharimu, striker unapata mpira huendi kwenye box, anaweza turn na kupiga pasi nyuma ama pembeni tena akiwa karelax na hafanyi movement nyingine ya kwenda golini..
Anyway kwa kuwa tunashinda ngumu kumlalamikia.
Hio form itakuja Matchday ya ngapi bosi au mpaka mbio za ubingwa zianze.Hatuna forward, tunachezesha kiraka tu kwa sasa.
Jesus akiwa kwenye form nzuri ni mkali kuliko Kai.
Namkubali Jesus, lakini kwa arteta inaonekana chaguo lake la kwanza ni kai, anampenda kai, kile kipindi kigumu alichokuwa anapitia kai, vile alikuwa anambeba na kumuonesha imani kubwa juu yake, hajawahi kuonesha hivyo kwa jesus baada ya majeruhi yale ya kombe la dunia.Hatuna forward, tunachezesha kiraka tu kwa sasa.
Jesus akiwa kwenye form nzuri ni mkali kuliko Kai.
Karudi, ni mwendo wa benchi unadhani atajipata saa ngapi?Hio form itakuja Matchday ya ngapi bosi au mpaka mbio za ubingwa zianze.
Tunataka matokeo sasa sio siku za mbeleni.