Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh ila nyumbu bwana 🤣🤣

Haya sawa sisi siyo wazuri. Hatujui mpira, tunabahatisha tu, nyinyi mnajua sana mpira ila ni bahati mbaya tu inawafuata kwa miaka mitano sasa.

Ila leo unaonaje? Mnampiga Villa au maumivu yataendelea?
 
Hivi unafahamu pamoja na ubora wa Arsenal na ubovu wa difensi ya Man Utd kama mnavyotuzingua, bado tuna asilimia kubwa ya cleansheet kuliko ngome ya Saliba na Gaby na pazia lenu Raya?
Kwani pazia letu Raya lina clean sheets ngapi na kipa wenu wa Dunia ana clean sheets ngapi?
 
Hii ndo shida ya kutazama mpira kupitia Livescore
 
Mwana anazingua kinoma...yani anamfananisha mwamba Raya na yule mcheza dansi wao ..... tena kwa idadi ya clean sheet
 
Kwani pazia letu Raya lina clean sheets ngapi na kipa wenu wa Dunia ana clean sheets ngapi?
Onana ana 50% clean sheet wakati Raya ana 42.7% kutokana na idadi ya michezo waliyokwishacheza.

N:B Kwa Southampton Onana na wabovu wenzake akina Maguire wametengeneza clean sheet wakati ukuta wa Berlin ukiongozwa na Saliba, Gaby na Raya umeruhusu goli dhidi ya wale wachovu.
 
Duh ila nyumbu bwana 🤣🤣

Haya sawa sisi siyo wazuri. Hatujui mpira, tunabahatisha tu, nyinyi mnajua sana mpira ila ni bahati mbaya tu inawafuata kwa miaka mitano sasa.

Ila leo unaonaje? Mnampiga Villa au maumivu yataendelea?
Sitaki kusema maneno mengi sana ila leo tunaanza ligi rasmi.
 
Sasa huoni ukisema tu kutokana na michezo waliyocheza inamaanisha hizo stats siyo sahihi kwa 100% kuwafananisha?

Huwezi kusema Raya kwenye michezo 7 ya ligi ana clean sheet 3.

Onana kwenye michezo 6 ya ligi ana clean sheets 3.

Hivyo Onana ana % kubwa za clean sheets.

Utakua unajenga fallacy
 
Duh ila nyumbu bwana 🤣🤣

Haya sawa sisi siyo wazuri. Hatujui mpira, tunabahatisha tu, nyinyi mnajua sana mpira ila ni bahati mbaya tu inawafuata kwa miaka mitano sasa.

Ila leo unaonaje? Mnampiga Villa au maumivu yataendelea?
Hawatoboi hao kwa Unai.
 
Nafikiri Villa kafungwa na Arsenal hadi sasa sijui kama kuna mwingine kamshona. Mkikomaa mtakua wa pili

NB. Nimeconfirm. Mpaka sasa Villa kafungwa na Arsenal tu
Na timu ya pili kumfunga Villa itakuwa United🤠🤠...Nina hii hisia leo tangu asubuhi
 
Mwana anazingua kinoma...yani anamfananisha mwamba Raya na yule mcheza dansi wao ..... tena kwa idadi ya clean sheet
Form is temporary, but class is permanent. Ni makosa makubwa sana Onana na sister Raya kukaa katika sentensi moja.

Ukisema Onana unazungumzia nyanda la fainali ya UCL, sio Raya mvuta vumbi katika mabenchi ya EURO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…