Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muhindi ndo anacheza mpira uwanjani sio🤠🤠🤠....sometimes naona kama uko timamu hivi ila kumbe bdo dishi limeyumba....saa 12 karibu sana pale Etihad uone namna Haaland atakavyokuwa anazurura kule mbele
Kweli mwanangu mpk dk. ya 9 hii bado namuona Halland anazurura tu.
 
Man City wanaimarisha udhibiti wa mpira dk 19 wana 62%
 
Dk 20, uwezekano wa kupata goli Ars bado ni 0 wakati MC ni 0.56
 
Arsenal wanaweka mambo sawa dk 21 MC 1 vs Ars 1
 
Mfungaji R. Calafiori kwa guu la kushoto tokea nje ya box.

Wakati huo Rodri katoka na kaingia Kovacic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…