arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mnacheza UEFA lini mkuu🤠🤠🤠 tumuangalie Antony masebene akifanya yake maana naona Kila mkijaribu kuomba Dua mbaya inagonga mwamba....tushamaliza na Atlanta Sasa j2 unganeni wote muwe upande wa Haaland ila utaratibu wetu ni uleule....watakaa na mpira ila kukatisha pale kwny boksi ni marufuku...wakijitahidi saaaana wataishia kupiga mashuti ya mbali kama wenzao Atlanta janaSiku hizi zile kelele za pressing na overloading, positional interchange na flexibility hatuzisikii tena
Wanga huwa wanaonekana tu mkuu...Flano na Mkohoti wao timu zao sijui zinacheza mashindano gani Ulaya maana hatujawasikia wiki hii....Sasa hii nguvu ya kuanza kufuatilia mechi za UEFA tangu j4 mpk Alhamisi wanaitoa wapi sijui🤠🤠🤠....Manunu nasikiasikia wiki hii alicheza na mafundi gereji akashinda Saba Sasa sijui kuna ukweli au alonambia kanidanganya....na sijui ni kombe gani lileKama timu yako haipo UEFA nenda kaoshe vyombo acha kusumbua wanaume na comments za kimama mama
Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.Wanga huwa wanaonekana tu mkuu...Flano na Mkohoti wao timu zao sijui zinacheza mashindano gani Ulaya maana hatujawasikia wiki hii....Sasa hii nguvu ya kuanza kufuatilia mechi za UEFA tangu j4 mpk Alhamisi wanaitoa wapi sijui🤠🤠🤠....Manunu nasikiasikia wiki hii alicheza na mafundi gereji akashinda Saba Sasa sijui kuna ukweli au alonambia kanidanganya....na sijui ni kombe gani lile
Liverpool alifungwa 3 na hao Atalanta tena Anfield,hebu kuwa na break na hilo domo lakoNyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
Niliimiss game jana, nacheki replay hapa.Kuna kitu watu hawakukiona mechi ya jana.physical fitness ya atlanta ni ya ajabu.wana miili na wana kasi.kolasinac na umbo lake kubwa ila ndani ya atlanta anaonekana wa kawaida.
Hizi ndio game tunazihitaji maana zinampa maswali mengi kocha.
Kocha wa makipa 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 kazi yake kwa raya inaonekana hasa kwa short stopping.
Do you believe tunaweza shinda epl na striking force ya kaiUmuhimu wa Kai umeshindw kuonekana leo kutokana na kubadilishiwa role yake uwanjani. Kai Ni bora kuliko jesus wakicheza kam Top forward pale mbele
Na kocha karidhika.Kuna muda unasimama na timu kama mtu wa mpira,ila ukija kama shabiki ni risk kubwa mno kwa namna tulivyoanza msimu huku tukiwa na strike force ya
Harvets
Jesus
Martinel
Saka
Watu walishaacha kumjibu kitambo broLiverpool alifungwa 3 na hao Atalanta tena Anfield,hebu kuwa na break na hilo domo lako
Wanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
Acha kumfananisha Cuadrado na takatakaHivi saka,martinell,trossard,rice na hata ode kuna kitu wamejifunza kwa juan cuardrado na zile long shorts zake kwa dakika chache alizocheza?
Imagine kama hao kila mmoja angejaribu shuti moja huenda tungekuwa na hadithi nyingine.
Wakina nani? Hivi na nyie mnaonaga vitu mnavyoandikaga humu kwnye hili jukwaa lenu ni vitu vya watu wenye akili timamu.Watu walishaacha kumjibu kitambo bro
Anaongea vitu visivyo na maana always
Shangaa na wewe!! Hawa ni mazwazwa. Na mwingine anakwambia wana defence bora kisa hawajafungwa na Halland, anasahau sio kila mechi lazima afunge.Wanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.
tiaNyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
Kumbe ni mtu wa kubet?basi sina muda wa ku-argue nawe,endelea kuchaniwa mikekaWakina nani? Hivi na nyie mnaonaga vitu mnavyoandikaga humu kwnye hili jukwaa lenu ni vitu vya watu wenye akili timamu.
Hii Iko waziWanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.