mwanadodoma
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 425
- 855
Kumbuka hii ni Derby na Arsenal alikuwa ugenini,hivyo Timber kafanya kazi kubwa sana kuzuia na kupandisha mashambuliziKipindi cha pili kazikdiwa Sana kama ulikuwa makini kuangalia ,,,hata mashambulizi mengi ya spurs yametokea upande wake
Tena ugenini kmmkTimu lenye tabia za ubingwa ndo huwa hivi. Missing key players bado inakupa matokeo.
So WHAT?Kipindi cha pili kazikdiwa Sana kama ulikuwa makini kuangalia ,,,hata mashambulizi mengi ya spurs yametokea upande wake
Tabia ya ubingwa? Ubingwa upi? Au unamaanisha tabia ya kushinda mechi za mwanzo na kwenda kuvurunda mechi za mwishoniTimu lenye tabia za ubingwa ndo huwa hivi. Missing key players bado inakupa matokeo.
Next game mwendo ni huu huu.Ushindi wa tabu sawa lakini ndio mpira jembe la mkono ,kweli arsenal total passes ni 138 mpira mbovu sana .
"Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba..."Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba...
King KaiView attachment 2956276
Jamaa ni viazi sana. Miaka Ile gizani kweusi, tunapiga mpira mkubwa bila matokeo, wanatusema.Next game mwendo ni huu huu.
Kaeni na mpira mnavyotaka ila tunatafuta points
Achana naye huyoTimber alikuwa uchochoro??nadhani tumeangalia TV tofauti,naamini Timber amepiga ball la uhakika sana
Timu haina wachezaji wa kikosi cha kwanza imestep up vizuri mi sijaona shida.Jamaa ni viazi sana. Miaka Ile gizani kweusi, tunapiga mpira mkubwa bila matokeo, wanatusema.
Miaka hii tukiamua tunapiga pira bora liende huku tunatoka na matokea, nayo hawataki pia.
Wasichoelewa sisi tunachofanya Sasa hivi ni kupunguza gape na City, asitupite nyingi. Af akina Merino wakirudi ndo gari linawaka sasa
Endeleeni na mwendo huu kipara anawasubiri mpaki basiNext game mwendo ni huu huu.
Kaeni na mpira mnavyotaka ila tunatafuta points
Endeleeni na mwendo huu kipara anawasubiri mpaki basi
Ungekua umeanza kufuatilia mpira kuanzia mwaka juzi ungejua kwamba mwaka jana tulipaki basi kwa kipara na tukampigaEndeleeni na mwendo huu kipara anawasubiri mpaki basi
Ila mwamba alikuwaga anawachachafya sana wana asee"Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba..."
hamis77
View attachment 3096651
Sijui masingeli kachukia nn aisee maana kaamua kupiga kimya hmu ndani mazima🤠🤠🤠...jukwaa linaendeshwa na Castr kwli??....Henry14 naye sijui Yuko wapiIla mwamba alikuwaga anawachachafya sana wana asee
Tumemiss tambo zake huyu jamaa
Hivi kikosi ndo kitaakuwa hichihichi auGame na city ndio itakuwa the real test kwetu.
Tukipata hata draw itakuwa tu poa