Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anaandika mdau:

Manchester City won the league back to back - Signs Haaland

Real Madrid won a league and UCL double - Signs Mbappe

Arsenal with zero league titles in 20yrs trying to overtake Man City - ??????????????????????

Ndo maana akina Flano wanatuona ni jukwaa la vichekesho
 
Kwani mashabiki wa Arsenal wao wanategemea kikombe chochote? Ni mashindano gani wanaweza kushindana mpaka wachukue ubingwa? Wenda ubingwa wa siku moja kama Ngao ya Hisani siyo hizi za mbio ndefu...
 
hatuko serious kabisaa hata toney tumemshindwa.....
 
usajili wa sterling kama ukikamilika.. naona ataenda kutumika zaidi eneo analocheza kai kwa sasa.
 
Tofauti ya points za bingwa na arsenal msimu uliopita ni ngapi?
 
Raheem Sterling akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa London Colney kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuhamishwa kutoka Chelsea kwenda Arsenal. wawakilishi wa mchezaji wanaofanya kazi ya kukamilisha mkopo wa msimu mzima kwa winga wa kimataifa wa Uingereza kwa miaka 29.
@TheAthleticFC
 
Nakuhakikishia siku tukikutana na ninyi , huu uzi wenu mtaukimbia , tutawabonda kwa hasira na malipizi ya visasi makubwa .
Kile kipigo cha mbwa koko alichopata wolves kitawakumba na ninyi , kiufupi round hii hamtoki salama mkikutana na Chelsea
Hapo Darajani Salenda huwa mnavuta bangi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…