kile sio kitendo cha uanamichezo na kinapaswa kukemewa, ni Jesus alikua ameinama style kama ya chuma mboga akipoteza muda, ndio yule mpemba akamtia kidole kwa makusudi kabisa.
Mbaya zaidi alietiwa kidole ndio kapewa kadi ya njano baada ya kukasirika na kumsukuma yule mpemba.
Hapa wazungu wanatufundisha ushoga hauna shida, ila kuonyesha hasira kwa kitendo unatakacho fanyiwa na basha ni kosa.