Huyu de jong angetufaa kabisa, anaendana na style yetu ya kucheza.Anaweza mchukua De Jong, nimeona Barca wamemuoffer kwa Man u, akienda city hapo tutakuwa tumeisha.
Yale Mambo kwa trosad utayachoka mwenyeweKuna goli jana trossard kafunga, unaweza mtongozea beyonce na akambwaga jay z bila tabu.
Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interceptionArsenal are fielding offers from two Clubs for Thomas Partey. They are willing to leave Thomas go once their valuation is met !
Talks ongoing
#arsenalfanaticsnews
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Nimeangalia Baadhi game za Pre Season za Arsenal Focus yangu ilikuwa Je kuna mabadiliko yapi yanafanyika kiufundi na Kimbinu kutoka kwa Kocha.
Nilichogundua Arteta Hajaondoka kwenye baadhi ya Mbinu zake kawahi kuzitumia kwenye game za Pre season karudia baadhi tactical set up.
Mfano FB kuinvert in Midfield mwishoni mwa msimu jana nafikiri asa baada kutoka Dubai tunaona Arteta alifanya tactical twerk badala kufanya Inverting ya FB akambadilishia Majukumu ode kuja kudanya build up kutokea Chini.
Alafu FB wa kushoto aendelee kucheza pembeni sababu pia alitafuta utimamu kiulinzi eneo ilo kitu Zin kinampa shida.
Hii ilikuwa tactical tweak pia, Kumfanya Rice kuwa more advanced akicheza LCM kitu ambacho ata mimi nilofikiri Arteta anahitaji zaidi kuendelea Nacho.
Lakini sasa Mfano Game jana Unaona Arteta akirudisha Inverting FB Role kutoka Zin ata alipoingia MLS aliendelea kufanya Hivyo hovyo.
Kumbuka Hapo Arsenal kuna baadhi wachezaji hawakuwepo Mfano Timber, Calafiori na Possibly Merino kama Akisajiliwa.
Kwa Misingi hii tutaendelea kuona mabadiliko kimbinu uwanjani kulingana na mpinzani.
Kitu Arteta anachokitafuta kwa sasa ni kutotabilika ( Unpredictable) ndio maana kakomaa kusajili wachezaji ambao wanampa Flexibility yani wanacheza nafasi Zaidi Moja uwanjani.Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey
Msimu huu mtazaa mawe mkikutana na sisi , msimu uliopita mlikutana na maiti na mkashangilia kupiga risasi maiti .NIHESHIMU NIKUHESHIMU
Hiki ndicho alichokifanya HAVERTZ Jana dhidi ya LEVERKUSEN. Two assist na goli moja, na hakushangialia hata kidogo. Hiki inatokana na heshima aliyoonyeshwa na klabu pamoja na mashabiki wa LEVERKUSEN
Hali ilikuwa tofauti dhidi ya CHELSEA wakati tunawatwanga 5 hapo mjini EMIRATES. Alionekana kushangia sana katika goli mbili alizofunga, na zile tatu nyingine.
NIHESHIMU NIKUHESHIMU
View attachment 3064407
kwani we shabiki wa timu gani?Msimu huu mtazaa mawe mkikutana na sisi , msimu uliopita mlikutana na maiti na mkashangilia kupiga risasi maiti .
Na bila aibu mnajiona miamba.
Huyu kiwete wenu Harvetz mtamkataa msimu huu nakwambia , na mtabeba kibuyu cha ulanzi kama kombe .
Nasisitiza kombe mtakalobena Ninyi ni kibuyu cha ulanzi
Kawa mzito bora aendoke.Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey
Arsenal remain in active talks to complete Mikel Merino deal. Merino has agreed on personal terms with Arsenal, clubs keep working on deal structure/payment terms; fee over €25m.Ni sahihi kazi na umri, basi tubebe zubimendi aje kuziba nafasi ya partey.. Na merino dili libaki pale pale, kuna umuhimu wa kuwa na kikosi kipana chenye wachezaji bora. .Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey