arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Akishakuja bwana mdgo Merino....tunamalizia na winger mmoja wa kumpa changamoto Saka...hapo Sasa wapinzani watafute pa kwnda maana sisi hatuna natural number 9...ni yyte tu anafunga....habari za 5+ zitakuwa suala la kawaida sana msimu ujao