Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wengi wetu tunaona kuwa beki yetu itakuwa ya wachezaji hawa ben white saliba gabby na calfiori ila mimi naamin asilimia100 kuwa timber ananafasi yake hapo aidha ben white asubr nje,au gabby akae bench timber acheze bek3 calfiori azime4......mimi nahakika timber ni mchezaji wa kikosi cha kwanza direcr no doubt
Huyo timber ni rafu tu ndio anajua huko kichwani hamna mchezaji mule.
 
Tutakumiss Sana mudy
IMG-20240730-WA0035.jpg
 
Arsenal’s current defensive depth:

Ben White 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Jurrien Timber
William Saliba
Takehiro Tomiyasu
Gabriel Magalhães
Jakub Kiwior
Riccardo Calafiori
Oleksandr Zinchenko

View attachment 3057010
Tukikutana na Nyumba, beki tatu upande wetu hatuweki mtu, yan panakaa wazi tu na bao hawapati
 
Arsenal’s current defensive depth:

Ben White 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Jurrien Timber
William Saliba
Takehiro Tomiyasu
Gabriel Magalhães
Jakub Kiwior
Riccardo Calafiori
Oleksandr Zinchenko

View attachment 3057010
Hapa hauzwi mtu, maana kuna watu washaanza kusema Zinny na Kiwior huenda tusiwe nao next season.Hizo beki mtaziona kwenye mashindano yote hapa chini

UCL
EPL
EFL
FA
COMMUNITY SHIELD


Maumivu yakizidi

images (1).jpeg
 
Jorginho on persuading Riccardo Calafiori to join Arsenal: “I sent him (Calafiori) a few messages while we were there at the (Euro 2024) tournament and I spoke with him and said if he wants to take himself to the next level and grow, this (Arsenal) is the right place for him to go.

“It’s nice to have a fratello here! We always try to help each other here and that’s what we’re going to do with him as well to make sure he feels at home straight away. It’s great that he’s here, hopefully he enjoys it and we’ll achieve big things together.”
IMG-20240731-WA0018.jpg
 
🚨🇪🇸 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 | Arsenal are closing in on the signing of Mikel Merino (28) from Real Sociedad, reports FabrizioRomano x MatteMoretto! ✨

Deal being discussed which is in excess of €30m.
 
MAJOR BREAKING from @MatteMoretto: Agreement reached between Arsenal and Real Sociedad for Mikel Merino! €30m + bonuses. The player will join Arsenal in the next few days.

Huyu Mikel Merino Afanye haraka aje kuzoeana na wenzake

IMG-20240801-WA0001.jpg
 
🚨Arsenal have had a £25million offer accepted by Real Sociedad for midfielder Mikel Merino.

The final details are being sorted out before the deal can be completed.

The 28-year-old will sign until 2028.

Mikel Arteta has got his man. 🇪🇸
 
Mzee Ferguson alishawai Kusema, washambulia Bora wanashinda mechi ile beki Bora zitakupa ubingwa.
Kipindi hiko Manchester United hawaitwi NYUMBU

Hii code naona Arteta ndio ameistukia, hatujachelewa. View attachment 3056990
Baada ya kuona pressing, overloading, aerial duel, positional interchange na flexibility hazijawapea kombe lolote, msimu huu false hopes zenu meamua kuzielekezea kwa mabeki sio?
Timueni hio Tetea yenu mtafute kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtakua mnakuja na false hopes zenu halafu ikifika mwezi May mnaanza kutukanana humu
1710748027241.jpg
 
Baada ya kuona pressing, overloading, aerial duel, positional interchange na flexibility hazijawapea kombe lolote, msimu huu false hopes zenu meamua kuzielekezea kwa mabeki sio?
Timueni hio Tetea yenu mtafute kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu mtakua mnakuja na false hopes zenu halafu ikifika mwezi May mnaanza kutukanana humuView attachment 3058542
Hii sio Jambo la kufurahia, coz Nyumbu hamtapata ata shoot on target.
 
Nyie kondoo huwa mnachekesha sana, mtu kama hawajui anweza akafikiri mna bonge moja la timu, kumbe leo tu mmeshachabangwa mbili na liva ya vibabu.
Pre season ni mech z kujifurahsha tu wakt mwingn na kuwek utimam wa mwil sawa ndo maan unaona city kapotez kwa celtic ns ac milan pia madrid kafungwa na ac milan ila niukweli kuwa kwa sasa njia pekee ya nyie wapinzani kufurahia ni sisi kukosa ubingwa na nyote kuhamia man city nje na hapo hakun chaka mtajifichia sabb timu zenu ni ungaunga mwana trip shamba trip garage...
 
Back
Top Bottom