Huyo timber ni rafu tu ndio anajua huko kichwani hamna mchezaji mule.Wengi wetu tunaona kuwa beki yetu itakuwa ya wachezaji hawa ben white saliba gabby na calfiori ila mimi naamin asilimia100 kuwa timber ananafasi yake hapo aidha ben white asubr nje,au gabby akae bench timber acheze bek3 calfiori azime4......mimi nahakika timber ni mchezaji wa kikosi cha kwanza direcr no doubt
Ben White









MAJOR BREAKING from @MatteMoretto: Agreement reached between Arsenal and Real Sociedad for Mikel Merino!
€30m + bonuses.
The player will join Arsenal in the next few days. 

