Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi Chelsea mabingwa wa kihistoria wa london ,
Tukikutana na hizi Kenge Arsenyetoz msimu huu ,tutapiga kama tunaua nyoka .
Tuna hasira sana na hizi Kenge
 
Mkuu, simple comparison tu.
Arteta ana miaka 6 arsenal, tunaomba walete mafanikio ya arsenal kwenye hiyo miaka 6 (kama sio kucheza mpira nzuri, nipeleke segerea) na Chelsea wekeni mafanikio ndani ya hiyo miaka 6.
 
Mkuu, simple comparison tu.
Arteta ana miaka 6 arsenal, tunaomba walete mafanikio ya arsenal kwenye hiyo miaka 6 (kama sio kucheza mpira nzuri, nipeleke segerea) na Chelsea wekeni mafanikio ndani ya hiyo miaka 6.
Tofauti ya mafanikio katika kipindi cha miaka 6 iliyopita kati ya Chelsea na Arsenyau ni mbingu na nchi.

Arsenyo huwenda akafikisha hata miaka 100 mbele bila kufikia mafanikio waliyopata Chelsea kwa miaka 6 iliyopita.

Chelsea won in the last 6 yrs
-FA Cup Winner 2018
-Europa League Winner 2019
-Champions League Winner 2021
-FIFA Club World Cup winner 2022.
-UEFA Supercup Winner 2022

Arsenyau yeye mafanikio yake ni kujisifia anacheza mpira mzuri, ubaya FA hua hawatoi kombe la mpira mzuri, huo mpira mzuri mid table teams kibao kama kina Brighton, Aston Villa na wengineo wanacheza na wala hatuwaoni mashabiki wao wakishupaza shingo kama hii misukule Pro-Max ya Arteta.
 
Wakati wenzao tunajibebea tu makombe kila msimu, halafu hawa mahopeless, trophyless, shameless wanaishia kudanganyana tu humu na endless phases
 
Duuuh

Aston Villa wameweka more than £50m kumbeba Onana wa Everton


Ornstein na Fabrizio
 
Duuuh

Aston Villa wameweka more than £50m kumbeba Onana wa Everton


Ornstein na Fabrizio
Sijajua Arteta na Edu wamelenga wapi
Ukweli Ni kuwa Kuna mashine tata Kama 3 lazima zitue
 
Sisi Chelsea mabingwa wa kihistoria wa london ,
Tukikutana na hizi Kenge Arsenyetoz msimu huu ,tutapiga kama tunaua nyoka .
Tuna hasira sana na hizi Kenge
tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5
ilitakiwa nyie mpigike kuanzia 7 ndo mngekuwa na adabu
ila sio mbaya, msimu mpya huu hapa umekaribia wa kocha
kulaumiwa
 
tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5
ilitakiwa nyie mpigike kuanzia 7 ndo mngekuwa na adabu
ila sio mbaya, msimu mpya huu hapa umekaribia wa kocha
kulaumiwa

tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5
ilitakiwa nyie mpigike kuanzia 7 ndo mngekuwa na adabu
ila sio mbaya, msimu mpya huu hapa umekaribia wa kocha
kulaumiwa
Heshima yako mkuu.
Vyovyote utakavyosema, Chelsea itabaki kua inspiration kwenu mashabiki wa arsenal 😂😂😂. Mtaongea sana kwenye majukwaa lakini tunajua kua chooni, vyumbani au mabafuni mnajiambia kua siku tukija kubeba makombe kama Chelsea itakua unyama sana.
 
Sjui Wana moyo gani Hawa watu lakini. Miaka 6 unakaa na kocha alafu useme anacheza mpira mzuri na kwenye kabati kumejaa utando wa buibui.
Kuna club huyu kocha wao hamalizi Christmas mbili
 

Kuna vitu wanaandikaga wadau humu, kwa haraka haraka unaweza sema wanaandika kisoka. Kumbe, ni katika harakati zao za kuichafua Arsenal

Mdau aliandika hivi kwenye uzi wa EURO 2024



Ukipiga jicho la haraka haraka, kama kweli vile. Lakini ukitulia, inakuja kugundua lengo ni kumponda Rice, hence Arsenal.England chini ya kiungo "MBOVU" Rice wamefanya haya

2019 UEFA NATIONAL LEAGUE: 3RT PLACE

2021 EURO, FAINALI

2022 ROBO FAINALI

2024 EURO, FAINALI

 
Hivi nyie kondoo mmerogwa hivi unailinganisha hiyo takataka na Rodri?
Kwa hiyo Rice ndio kaifikisha England final siyo??
Ngoja final hiyo takataka itakavyopotezwa ndio mtaacha ushabiki wa kiduanzi.
 
Hivi nyie kondoo mmerogwa hivi unailinganisha hiyo takataka na Rodri?
Kwa hiyo Rice ndio kaifikisha England final siyo??
Ngoja final hiyo takataka itakavyopotezwa ndio mtaacha ushabiki wa kiduanzi.
Hakujawahi, na hakutowahi kutokea USHABIKI WA KIDUANZI, kama kutaja KONATE AANZE FRANCE MBELE YA SALIBA

Hakuna uduanzi mkubwa kama kutaka one of top three right winger, BUKAYO SAKA arudi namba tatu ili kumu accommodate PALMER.
 
Sjui Wana moyo gani Hawa watu lakini. Miaka 6 unakaa na kocha alafu useme anacheza mpira mzuri na kwenye kabati kumejaa utando wa buibui.
Kuna club huyu kocha wao hamalizi Christmas mbili
Brighton ya De Zebr ilikua inacheza mpira mzuri kuliko wao, lakini mpira mzuri bila ya kubeba kombe lolote wamejionea ni upuuzi mtupu wakatimua mpaka kocha mwenyewe, ila hizi kima unaenda mwaka wa 6 sasa hivi bado wanaifuga hio Tetea yao na kudanganyana humu kua GD yao ya msimu ulioisha ilikua kubwa kuliko ya Madrid kwenye La liga + Uefa, hivyo mafanikio yao msimu ulioisha yalikua ni zaidi ya mafanikio ya Real Madrid


 
Mwamba anavyoandika kwa uchungu, kana kwamba ana nia nzuri na Arsenal. Sisi sote tunaijua Arsenal yetu ilipotoka, na ilipo sasa hivi. Kelele zote hizi ni kwa sababu wanaogopa kinachokuja kuwatuka misimu ijayo.Yes, kinachokuja kuwakuta.

Klopp, anapewa Liverpool October ya 2015, iliyomaliza nafasi ya 6 msimu wa nyuma na kwenda Europa League. Klopp anawapeleka Liver fainali, na kushika nafasi ya 8 EPL. NO TITLES

Misimu wa pili wa Klopp, 2016/2017, anashika nafasi ya 4 EPL, timu inaenda UEFA CHAMPIONS LEAGEA KWA MARA YA PILI NDANI YA MIAKA SABA. Yani from mwaka 2009 mpaka 2017, Liverpool imeshiriki UCL mara Moja tuu, msimu wa 2013/2014. Klopp anawapeleka kwa mara ya pili 2017/18. NO TITLES

Msimu wa tatu wa Klopp, 2017/2018, NO TITLES

Anaanza kupata mafanikio msimu wa nne, 2018/19

Huyu Klopp tunayemzungumzia hapa, ni experienced coach wakati anakuja Liverpool, tofauti na Arteta ambaye ndio timu yake ya kwanza kuimanage.


Mwaka 2019, December, Arsenal wanamchagua Arteta kuwa kocha.

Msimu wa kwanza, Dec 2019 to May 2020, FA CUP.

2020/21 COMMUNITY SHIELD

2021/22 NO TITLES, Huku timu inaendelea kujengwa

22/23, 2nd Place EPL (kwa timu ilipotoka, hii ni ishara mwelekeo wa timu ni mzuri)

23/24, COMMUNITY SHIEF, Timu inarudi UCL, 2nd Place EPL


Kwa akili iliyosalimika, ukiangalia hiyo safari ya Arteta, unaona kabisa Arteta kuna kitu kinakuja. Hiki kitu kinachokuja, akina FLANO na MKOHOTI wanahofia yasije yakawa kama ya Klopp, EPL na UCL. Hapa ndo msingi wa kelele zao unapoanzia
 
Acha porojo nyingi miaka 6 ya huyo Tetea wenu kua kocha hakuna kombe lolote la maana alilowapea zaidi ya FA Corona Cup, yaani bila ya msaada wa Covid 19 mpaka muda huu huyo Tetea asingekua na kombe lolote mkono.
Ni matusi makubwa sana kujaribu kumfanisha huyo kilaza wenu na Jürgen Norbert Klopp aliebeba makombe yote kuanzia Premier League, Champions League, UEFA Super Cup, Fifa Club World Cup, FA cup na EFL Cups.
Kwa akili hizi za kina BJB FC sitashangaa huyo Tetea akafikisha miaka hata zaidi ya 10 hapo Arsenyo bila ya kombe lolote la maana halafu misukule ya humu ikiendelea kumtukuza na kumsifu huku wakiendelea kuzihadaa nafsi zao kwa kumpea majina matamu matamu kama vile Master Class, Tactician etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…