Mkuu, simple comparison tu.Game la kwanza mumshukuru golikipa aliwazawadia goli mkaambulia droo. na ndicho kinachowapa midomo.
Embu nipe utofauti, labda kuna kombe mlilopata. yaani nyie mashabiki wa Arsenal mna kaulimwengu kenu kakujitengenezea furaha ambayo haipo.
Unataka nikutajie au unajifanya na ww ni kichwa ngumu kama Southgate.
Tofauti ya mafanikio katika kipindi cha miaka 6 iliyopita kati ya Chelsea na Arsenyau ni mbingu na nchi.Mkuu, simple comparison tu.
Arteta ana miaka 6 arsenal, tunaomba walete mafanikio ya arsenal kwenye hiyo miaka 6 (kama sio kucheza mpira nzuri, nipeleke segerea) na Chelsea wekeni mafanikio ndani ya hiyo miaka 6.
Na hawa nawo wanatabiri haya....Wakipiga ata shoot on target, mkanitupe mto wamiView attachment 3033090
Sijajua Arteta na Edu wamelenga wapiDuuuh
Aston Villa wameweka more than £50m kumbeba Onana wa Everton
Ornstein na Fabrizio
tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5Sisi Chelsea mabingwa wa kihistoria wa london ,
Tukikutana na hizi Kenge Arsenyetoz msimu huu ,tutapiga kama tunaua nyoka .
Tuna hasira sana na hizi Kenge
tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5
ilitakiwa nyie mpigike kuanzia 7 ndo mngekuwa na adabu
ila sio mbaya, msimu mpya huu hapa umekaribia wa kocha
kulaumiwa
Heshima yako mkuu.tulifanya kosa kubwa sana kuwagusa zile 5
ilitakiwa nyie mpigike kuanzia 7 ndo mngekuwa na adabu
ila sio mbaya, msimu mpya huu hapa umekaribia wa kocha
kulaumiwa
Sjui Wana moyo gani Hawa watu lakini. Miaka 6 unakaa na kocha alafu useme anacheza mpira mzuri na kwenye kabati kumejaa utando wa buibui.Tofauti ya mafanikio katika kipindi cha miaka 6 iliyopita kati ya Chelsea na Arsenyau ni mbingu na nchi.
Arsenyo huwenda akafikisha hata miaka 100 mbele bila kufikia mafanikio waliyopata Chelsea kwa miaka 6 iliyopita.
Chelsea won in the last 6 yrs
-FA Cup Winner 2018
-Europa League Winner 2019
-Champions League Winner 2021
-FIFA Club World Cup winner 2022.
-UEFA Supercup Winner 2022
Arsenyau yeye mafanikio yake ni kujisifia anacheza mpira mzuri, ubaya FA hua hawatoi kombe la mpira mzuri, huo mpira mzuri mid table teams kibao kama kina Brighton, Aston Villa na wengineo wanacheza na wala hatuwaoni mashabiki wao wakishupaza shingo kama hii misukule Pro-Max ya Arteta. View attachment 3041009
Mimi sitaki kuamini kwamba Xhaka huyu wa Euro, ni bora kuliko yule wa Euro 2020 ambapo Uswizi wanakufa kwenye matuta dhidi ya Spain, ROBO FAINALI
Ila, amekuwa mzuri machoni mwa watu, baada tu ya kuondoka ARSENAL
RICE, amekuwa mbaya machoni mwa mashabiki wa England na waandishi wa habari, akiwa amevaa jezi ya ARSENAL
Sio mchezaji, ni timu. It's fine that people hate us.Its part of our history
Hivi nyie kondoo mmerogwa hivi unailinganisha hiyo takataka na Rodri?Kuna vitu wanaandikaga wadau humu, kwa haraka haraka unaweza sema wanaandika kisoka. Kumbe, ni katika harakati zao za kuichafua Arsenal
Mdau aliandika hivi kwenye uzi wa EURO 2024
View attachment 3041706
Ukipiga jicho la haraka haraka, kama kweli vile. Lakini ukitulia, inakuja kugundua lengo ni kumponda Rice, hence Arsenal.England chini ya kiungo "MBOVU" Rice wamefanya haya
2019 UEFA NATIONAL LEAGUE: 3RT PLACE
2021 EURO, FAINALI
2022 ROBO FAINALI
2024 EURO, FAINALI
View attachment 3041710
Hakujawahi, na hakutowahi kutokea USHABIKI WA KIDUANZI, kama kutaja KONATE AANZE FRANCE MBELE YA SALIBAHivi nyie kondoo mmerogwa hivi unailinganisha hiyo takataka na Rodri?
Kwa hiyo Rice ndio kaifikisha England final siyo??
Ngoja final hiyo takataka itakavyopotezwa ndio mtaacha ushabiki wa kiduanzi.
Brighton ya De Zebr ilikua inacheza mpira mzuri kuliko wao, lakini mpira mzuri bila ya kubeba kombe lolote wamejionea ni upuuzi mtupu wakatimua mpaka kocha mwenyewe, ila hizi kima unaenda mwaka wa 6 sasa hivi bado wanaifuga hio Tetea yao na kudanganyana humu kua GD yao ya msimu ulioisha ilikua kubwa kuliko ya Madrid kwenye La liga + Uefa, hivyo mafanikio yao msimu ulioisha yalikua ni zaidi ya mafanikio ya Real MadridSjui Wana moyo gani Hawa watu lakini. Miaka 6 unakaa na kocha alafu useme anacheza mpira mzuri na kwenye kabati kumejaa utando wa buibui.
Kuna club huyu kocha wao hamalizi Christmas mbili
Mwamba anavyoandika kwa uchungu, kana kwamba ana nia nzuri na Arsenal. Sisi sote tunaijua Arsenal yetu ilipotoka, na ilipo sasa hivi. Kelele zote hizi ni kwa sababu wanaogopa kinachokuja kuwatuka misimu ijayo.Yes, kinachokuja kuwakuta.Tofauti ya mafanikio katika kipindi cha miaka 6 iliyopita kati ya Chelsea na Arsenyau ni mbingu na nchi.
Arsenyo huwenda akafikisha hata miaka 100 mbele bila kufikia mafanikio waliyopata Chelsea kwa miaka 6 iliyopita.
Chelsea won in the last 6 yrs
-FA Cup Winner 2018
-Europa League Winner 2019
-Champions League Winner 2021
-FIFA Club World Cup winner 2022.
-UEFA Supercup Winner 2022
Arsenyau yeye mafanikio yake ni kujisifia anacheza mpira mzuri, ubaya FA hua hawatoi kombe la mpira mzuri, huo mpira mzuri mid table teams kibao kama kina Brighton, Aston Villa na wengineo wanacheza na wala hatuwaoni mashabiki wao wakishupaza shingo kama hii misukule Pro-Max ya Arteta. View attachment 3041009
Mwamba anavyoandika kwa uchungu, kana kwamba ana nia nzuri na Arsenal. Sisi sote tunaijua Arsenal yetu ilipotoka, na ilipo sasa hivi. Kelele zote hizi ni kwa sababu wanaogopa kinachokuja kuwatuka misimu ijayo.Yes, kinachokuja kuwakuta.
Klopp, anapewa Liverpool October ya 2015, iliyomaliza nafasi ya 6 msimu wa nyuma na kwenda Europa League. Klopp anawapeleka Liver fainali, na kushika nafasi ya 8 EPL. NO TITLES
Misimu wa pili wa Klopp, 2016/2017, anashika nafasi ya 4 EPL, timu inaenda UEFA CHAMPIONS LEAGEA KWA MARA YA PILI NDANI YA MIAKA SABA. Yani from mwaka 2009 mpaka 2017, Liverpool imeshiriki UCL mara Moja tuu, msimu wa 2013/2014. Klopp anawapeleka kwa mara ya pili 2017/18. NO TITLES
Msimu wa tatu wa Klopp, 2017/2018, NO TITLES
Anaanza kupata mafanikio msimu wa nne, 2018/19
Huyu Klopp tunayemzungumzia hapa, ni experienced coach wakati anakuja Liverpool, tofauti na Arteta ambaye ndio timu yake ya kwanza kuimanage.
Mwaka 2019, December, Arsenal wanamchagua Arteta kuwa kocha.
Msimu wa kwanza, Dec 2019 to May 2020, FA CUP.
2020/21 COMMUNITY SHIELD
2021/22 NO TITLES, Huku timu inaendelea kujengwa
22/23, 2nd Place EPL (kwa timu ilipotoka, hii ni ishara mwelekeo wa timu ni mzuri)
23/24, COMMUNITY SHIEF, Timu inarudi UCL, 2nd Place EPL
Kwa akili iliyosalimika, ukiangalia hiyo safari ya Arteta, unaona kabisa Arteta kuna kitu kinakuja. Hiki kitu kinachokuja, akina FLANO na MKOHOTI wanahofia yasije yakawa kama ya Klopp, EPL na UCL. Hapa ndo msingi wa kelele zao unapoanzia