Mkorea umeanza kupoteza tena akili zako msimu huu hatutakubali uweuke na sisi ndugu zako tupo lazima tukupeleke milembe ukatulie huko.Wakipiga ata shoot on target, mkanitupe mto wamiView attachment 3033090
Mkorea umeanza kupoteza tena akili zako msimu huu hatutakubali uweuke na sisi ndugu zako tupo lazima tukupeleke milembe ukatulie huko.
Wafuatao wanatuchangia points 6Arteta on how many points we need to win the league:
"Let's start with 114 and see what we get."
[@espn]
Unanishaurije? Wakati wote tulitoka patupu mjomba? Huo ushauri ungefaa umpe Arteta aache kuwatesa, mpk wengine washawehuka wanataka watupwe mto wami.Nawakumbusha tena kusajili mkuu...huwa unakuwa mwepesi sana kuingia mitini mkianza kula ndonga za uso🤠🤠..halafu ukirudi unaanza kumtukana kocha kama huwa unamsaidia kufundisha vile
Nilifungua ligi kwa kubeba sinia la maandazi🤠🤠...lakini nikukumbushe tu msiposajili tena vizuri safari hii zile 5 tulizowadunda pale Imarate tutakuja kuwadundia pale darajani....yaani mpk half time tutahakikisha mshakula 4Unanishaurije? Wakati wote tulitoka patupu mjomba? Huo ushauri ungefaa umpe Arteta aache kuwatesa, mpk wengine washawehuka wanataka watupwe mto wami.
Nyie kuna mahala hapapo sawa.Call the ambulance, call the ambulance.
But not for me!!!!!!!!!!!!!
Mwaka jana tuliruhusu magoli 29 ndani ya EPL. Mwaka huu, plan yawe less than 10
INVINCIBLE SEASON uleeeee
View attachment 3034316
Italy Wanamwita Maldini huyo. Hatarii 🔥🔥Call the ambulance, call the ambulance.
But not for me!!!!!!!!!!!!!
Mwaka jana tuliruhusu magoli 29 ndani ya EPL. Mwaka huu, plan yawe less than 10
INVINCIBLE SEASON uleeeee
View attachment 3034316
Unawashwawashwa sana mkuu🤠🤠...nyny mnasajili mbona sisi hatuwafatilii...mmekuwa na Tabia kama za bilionea wenu tajiri miluzi...yaani kutwa kutufatafata ArsenalNyie kuna mahala hapapo sawa.
Mnajua tajiri yetu akiamua usiku huu unamkuta darajani mambo madogo madogo hayamshindiUnawashwawashwa sana mkuu🤠🤠...nyny mnasajili mbona sisi hatuwafatilii...mmekuwa na Tabia kama za bilionea wenu tajiri miluzi...yaani kutwa kutufatafata Arsenal
Hatar hii timuWakipiga ata shoot on target, mkanitupe mto wamiView attachment 3033090
Haya ndo maumivu tuliyazungumzia humuKatika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.
Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
Mkuu umenena la maana sana. Miaka miwili mfulilzo 85% ya msimu, tupo zetu na furaha mia mia. Wakati huo mashabiki wa timu pinzani wanapata maumivu mara mbili.
Moja, ya timu zao kuboronga, mbili ya Arsenal kufanya vizuri. Ndo maana unawaoma wanajaa humu muda wote, kupunguza msongo wao wa mawazo kwetu.
Mfano, sasa hivi, ligi zimeisha, sisi Arsenal wenyewe tushasahau ya msimu ulopita, lakini wao sasa.
Tupo zetu tunasikilizia anakuja nani kati ha Sesko, Gyokeres au Osimnhen huku tunakunja nne.
View attachment 3009595
MAUMIVU MARA MBILIMuda umewadia,
Arsenal ina nini cha maana paka watu wakicheza hapo wachukiwe?