Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,107
- 3,190
Unajua kuna muda nilifikiria ivi hawa mashabiki wa arsenal huwa ni vichaa ama ni upofu wa macho na akili nikafika hitimisho ni false hope ndani ya mioyo yaoLabyrinth amekuwa kimya. Mbona hajatuambia Newcastle wameshaanza preseason?
Newcastle United thrashed 8-0 by A-League All Stars in Melbourne as post-season tour ends on low note
Na je, nini hatma ya timu yake katika mashindano ya Ulaya baada ya Manyumbu kubebe FA?
Hivi fikiri tu kwa kawaida zimebaki game 5 uwe bingwa ivi kweli unashindwa kukaza ๐๐ halafu wanatoka ma false hopers wanakuambia hii arsenal iko bora wakati ni trophyless, man utd katika misimu yake mibovu tayari ana europa , fa cup na carling cup arsenal sijui ina nini .
Newcastle nilikuambia ndo kwanza tunajenga team ndani ya miaka 5 epl lazima tubebe