Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huenda tukamuuza Partey. Je, tunaangalia mbadala ukiachana na Jorginho, au tunaweza kumjaribisha Timber pale preseason?
 
We jamaa kubwa Zima unajiita dogo. Kwahiyo hata kombe la Dunia 2010 South Africa haujaangalia.
EPL mechi zote zilikuwa usiku??
We sema umeanza kushabikia mpira

ukubwani.

We jamaa kubwa Zima unajiita dogo. Kwahiyo hata kombe la Dunia 2010 South Africa haujaangalia.
EPL mechi zote zilikuwa usiku??
We sema umeanza kushabikia mpira ukubwani.
Kweli saizi mim Ni mkubwa Sana 27+yrs,ila sikubahatika kuiona hio Arsenal nyie mnayosema ya wenga sijui ,Kwa hiyo mkiona sishabikii hayo matimu yenu ya 1990 Ni swala la kawaida Sana ....

Arsenal imepata mashabiki wengi Enzi za Wenger 2000-2003 mnachukua unbeaten kama sikosei ,na kama wewe ulikuwa unaangalia mpira Enzi hizo unatakiwa kuwa shabiki WA Arsenal na uko sahihi ,Sisi ambao hatukuwepo Hatuna sababu yeyote ya kushabikia hili timu .....!!

Yaani sijabahatika kuona hayo matimu yenu mazee mnayoita sijui timu kubwa ,timu kubwa Ni MAN CITY tu ......kama unabisha leta timu yako uwanjan tukuoneshe.......

Ulianza kuleta mambo ya history mim Sina muda WA kugoole mafanikio ya timu flani wakati timu kubwa naiona live kwenye tv week in week out ....

Treble winner Naona live..

4- peat Naona live ...

First pl club to win domestic quadruple....Naona live

Harafu uanze kusema unajua zamin united ilikuwa this ,that and that .....I was not there bro ......au sijui Arsenal was this and this ......sikuwepo budaaa.... believe in yourself
 
Kwamba Paqueta ni Gambler? Dah ! Shetani anaondoka na kijiji kikubwa sana.

Inasemekana kuna uhuni alifanya kwa kujipatisha kadi za njano kwa makusudi ili kuchekecha betting odds...​

Ten-year ban for Lucas Paqueta? West Ham fear Brazil star's career may be over if found guilty of betting breaches​

Lucas PaquetaWest HamPremier League
West Ham's Lucas Paqueta has been charged with four instances of spot-fixing and the Hammers fear the forward's career could potentially be over.

WHAT HAPPENED?​

On Thursday, Paqueta was officially charged by the Football Association for alleged breaches of betting regulations. The charge relates to four instances where Paqueta allegedly deliberately received a yellow card during West Ham's clashes against Leicester, Aston Villa, Leeds and Bournemouth in 2022 and 2023. The Brazilian has completely denied the allegations and has vowed to clear his name.

Source: Goal.com
 
Yah! Uzuri wazungu wakiwa wanafanya upelelezi wao huwa hawana haraka, wapo radhi kusubir hata miaka 10. Ila taarifa itakayotoka hapo ni pure.

Kiufupi biashara ya betting imekuja kuharibu sana soka kwa baadhi ya ligi, ligi ya Italia naona huwa kuna rumours kuwa wanahusika na kupanga matokeo especially mwisho wa msimu.
 
Kwamba Paqueta ni Gambler? Dah ! Shetani anaondoka na kijiji kikubwa sana.

Ten-year ban for Lucas Paqueta? West Ham fear Brazil star's career may be over if found guilty of betting breaches​

Lucas PaquetaWest HamPremier League
West Ham's Lucas Paqueta has been charged with four instances of spot-fixing and the Hammers fear the forward's career could potentially be over.

WHAT HAPPENED?​

On Thursday, Paqueta was officially charged by the Football Association for alleged breaches of betting regulations. The charge relates to four instances where Paqueta allegedly deliberately received a yellow card during West Ham's clashes against Leicester, Aston Villa, Leeds and Bournemouth in 2022 and 2023. The Brazilian has completely denied the allegations and has vowed to clear his name.

Source: Goal.com
Kwenye pesa kuna mambo mkuu.
 
Arsenyo nyie ndugu zetu wa damu kabisa, kama ni familia basi sisi ni kaka zenu wakubwa halafu nyinyi ni our little sister's, hivyo tunawaomba mje kwa wingi kwenye dimba la Wembley na wengine mkajazane vibandaumiza mtushangilie kaka zenu, huenda kelele zenu zikasaidia msimu huu tukamaliza na chochote kitu ili tuwatambie vizuri.
 
Unalalamika sana bobu shida nini??, ligi imeisha isha sasa, we nenda ka enjoy tuachie jukwaa letu budda, ukija next time kuja na mada nyingine.
 
Kachukue jezi ucheze mkuu🤠🤠....mna kikosi cha kijinga sana....na Ten Hag kasema haondoki labda mlete mawinchi kumtoa ila hihihivi hatoki...maana sio kosa lake ila michezaji yenu haifundishiki
 
Ndugu zetu wa Arsenyo endeleeni kutuombea, maana bila ya dua zenu hatuwezi fika popote.
Pia msisahau kuendelea kukemea mapepo machafu yote maana hizi 45 za kipindi cha pili Ibilisi hua hayachezi mbali
 
Ni suala la muda tu Man city nao wanapoteana. Mpira bana! Hasa uingereza, mpira haueleweki kabisa. Tim ikipoteana inapoteana kweli! For years!
 
Nyumbu tume leta timu leo..mtuonyeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…