Arsenal (The Gunners) | Special Thread

pamoja na yote Wenger orphans kitu mtachobeba msimu huu ni hii tu🤣🤣
 
Moja ya kitu kinachonipa matumaini kwamba leo Spurs anaturejeshea nafasi ya kuchukua ubingwa ni rekodi mbovu aliyonayo Guardiola nyumbani kwa Spurs.

Pep Guardiola has never won any premier league match at Tottenham Hotspur Stadium ever since he came to England, out of all 7 visits he has barely managed to collect 2 draws and suffered 5 losses.

Now it is my great anticipation to see our dear neighbours putting their energy to make sure this perennial winless streak prevail... at least this is the only good record they can brag of for us.
 
Bt rekodi huwa zinavunjwa mkuu.

Juzi Arsenal imetoka kushinda ugani Old Trafford baada Muda mrefu Sana.Kwa hiyo rekodi huwa zinavunjwa mkuu.
 
Koc
Kocha katuonesha ubora wake, ni muda wa wachezaji bora kuonesha thamani ya mwalimu, watu kama rice, odeergad, saliba, ben white wana ubora mkubwa sana, sasa huku kwingine lazima tupate wachezaji wenye ubora mkubwa zaidi. Partey ni bora ila umri kushney, martineli kapoa nilitegemea, ngoja tuone kama atajiongeza, hili hata saka namuona hivyo pia. Anahitajika namba 9 hatari, winga hatari upande wa saka, midfielder mwingine mwenye kuonesha kila alichonacho odeergad, tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana, na msimu ujao huenda ndoo tukabeba tena mapema tu. Ila hivi hivi itakuwa changamoto.
 
This record ilikuwa kipindi kile golini kunalorris halaf mbele kuna kane.
 
N
Spurs afungwe au asifungwe atajua mwenyewe

Haina haja ya kubebwa na matokeo ya timu zingine wakati games tulizotakiwa kushinda na tungeweza sisi tukapoteza.
Na kwa man city hii, tusitegemee kupata ubingw kwa makosa ya mpinzani bali kwa ubora wetu, game za kipuuzi, hizi na aston villa, 2-2 vs chelsea, game na westham, kuna fulham, Tottenham ile game ya kwanza, ndio zimetuangusha saana,...
 
Kwa hichi kikosi Idea ya Ange ni idea aliyokuja nayo Eriki Kichwa ngumu kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…