sio kocha m'baya nenda kaangalie list ya injury wake ndio uje umtolee critics soo far he is an elite coachZamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.
Kisha wakamfananisha na Arteta.
Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
picha hii huwa inanikera sanaOya wanangu wa Arsenal leo nimefurahi sana kuwafunga wale Genge la Cheltano 💪
Huyu alikuwa tumpige kama 8 hivi ili wamfukuze Pochetino kabla hakujakucha .
View attachment 2972406
Bado naamini De Zerbi ni bonge la kocha la soka la kisasa. He needs to be on top teams(liver, city, Chelsea, man u, arsenal, tots) kwa hapo uingereza kuonyesha umwamba wake.Zamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.
Kisha wakamfananisha na Arteta.
Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
Bado mechi 4 Arsenal awe bingwaKilichobaki Spurs tu mechi ijayo wafunge hesabu mapema ili FA wammalizie Kipara Advance yake iliyobaki ya ubingwa wa Epl 2023/2024
Kuna Kima humu bado zinapeana false hopes kua Guardiola atapoteza tu japo mechi moja kwenye fixtures iliyobaki
Bado mechi 4 Arsenal awe bingwa wa EPL 23/24Arsenali wenzangu mi naona tukutane msimu ujao tu city kashamaliza shughulikweli fungu la kukosa.
Wachezaji wnyw wamekaa kinyonge sana 😂Kombe pekee Arsenyo wanashinda kila msimu ni Emirates Cup tu.
Kweli nimeanza kuamini Arsenyo ni timu la Makombe makubwa ya EmiratesView attachment 2973430
Ndoo peke yenye Wenger orphans mnaweza kubeba ni hii pekee😁😁😁Mjiandae na shombo zetu tutakaponyanyua ndoo🤠🤠...hamtakaa kwa amani kwny magrup yenu wanga wte
Na sisi tutakuwa tumebeba FA atutakaa kinyonge.Ole wenu wakitwaa kombe sijui mtajificha wapi na kejeli zenu japoMan City ana nafasi kubwa kutetea ubingwa mpaka hapo
vipi klopu,zee la kukenua......bado hamjaona tu kuwa mzee ndo anavuta pumzi za mwisho kwenye tactics uwanjaniNawashauri Arteta mumfukuze tafuteni kocha wa kueleweka.
Korona hamna saiv ndugu zetu liverkuku kazeniMiaka 20 bila EPL hivi hamuoni aibu nyie kenge?