Kwa hii game hatuhitaji height yake. Nafikiri angekuwepo Jesus, baadhi ya zile chances angejaribu kushoot ba huenda angepata goliI already said huyu Kai anakua mzuri akiwa na watu pembeni. One two n the like, kulifuata goli ilibidi awe Jesus
Yaani pasi hata ya chini haipigwi kufika mguuni. Sijui dogo ana shida gani.Pasi za Kai hazina uzito wala muelekeo
Vieira kwa odegardsecond half inahitajika fresh legs.. wachezaji wengi wa arsenal wanaonkana kuchoka sana na hii ni sababu ya wengi wao kucheza dakika nyingi zaidi msimu huu tofauti na wanaotokea benchi.