Energy unayotumia kuandika kuhusu sisi[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].Kweli hiari yashinda utumwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit[emoji2][emoji2][emoji2]
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange[emoji1][emoji1][emoji1]
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble[emoji3][emoji3][emoji3]
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14[emoji16][emoji16][emoji16]
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2971699
Hapo wewe umeingia fainali ya FA kwa kudra za VAR check ya mchongo. Mara paap, umembahatisha Kipara ukabeba kombe la FA...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit[emoji2][emoji2][emoji2]
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange[emoji1][emoji1][emoji1]
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble[emoji3][emoji3][emoji3]
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14[emoji16][emoji16][emoji16]
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2971699
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sekyuriti gadi kipindi hiki ni sawa tunakula mishahara ya bure tu, maana uhalifu umepungua sana, tunajikuta muda mwingi hatuna kazi ya kufanya kwenye lindo zaidi ya kutumia Wi-Fi ya bure kucomments humu kwenye jukwaa la comedy.Energy unayotumia kuandika kuhusu sisi[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].Kweli hiari yashinda utumwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo wewe umeingia fainali ya FA kwa kudra za VAR check ya mchongo. Mara paap, umembahatisha Kipara ukabeba kombe la FA...
Sijui hili jukwaa litakuwaje ikitokea hivyo...
Na mwenzie Havertz hahahaha....... hao jamaa wana DNA moja. Mmoja mzuri kwnye mipira ya juu, mwingine mipira ya chini. ila ni dugu moja.Saa Tano leo...tutakuwa laivu tukiangalia makeke ya Jackson🤠🤠
Kumbe mnaelewa sema huwa mnachangamsha genge, sio gemu rahis. Mnaongea kama vile mnaenda kucheza na Mtibwa.Ndo maana ya ushabiki mkuu. Unatakiwa uchuje, kuna kipindi linazungumzwa ball, kuna kipindi ni ushabiki. Sasa mimi naanzaje kusema Chelsea anatufunga leo?
Leo Cheltako mkong'oto unawahusu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Usimfananishe Havertz na hyo mmakonde wenu....kazi kubadili rangi ya nywele kichwani Kila sikuNa mwenzie Havertz hahahaha....... hao jamaa wana DNA moja. Mmoja mzuri kwnye mipira ya juu, mwingine mipira ya chini. ila ni dugu moja.
mcheza rugby yuleSaa Tano leo...tutakuwa laivu tukiangalia makeke ya Jackson🤠🤠
Arsenal 3 - Chelsea 0[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit[emoji2][emoji2][emoji2]
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange[emoji1][emoji1][emoji1]
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble[emoji3][emoji3][emoji3]
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14[emoji16][emoji16][emoji16]
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2971699
Sinia la biriyani?Sisi tuna la dhahabu...kwmba tulibeba bila kufungwa[emoji1783][emoji1783]..vp nyinyi mna la aina gani
Mmeona tu sasa mshangilie akina MamaPongezi kwa wanawake wetu kwa kuingia Champions League ya Wanawake. Ni mwendo wa kunyoosha Uingereza kwa kila timu, kuanzia watoto, wanawake mpaka first team. Tutokapo kuna giza ila tuendapo nuru tele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit[emoji2][emoji2][emoji2]
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange[emoji1][emoji1][emoji1]
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble[emoji3][emoji3][emoji3]
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14[emoji16][emoji16][emoji16]
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2971699
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe[emoji16][emoji16][emoji16]
Kikubwa nilichogundua hili jukwaa bila ya uwepo wa ndugu yangu masingeli hua linapoteza kabisa mvuto.
Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi tuko chini ya miguu yako tunakuomba urudi utupe mchanganuo wa kucheza fainali ya Uefa kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale Wembley [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2971758
Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......Usimfananishe Havertz na hyo mmakonde wenu....kazi kubadili rangi ya nywele kichwani Kila siku
aMpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!
Invincibles kombe la dhahabu...nyny mnalo??....na leo tukishinda kesho mna draw nyny....hii Hali naiona kabisaSinia la biriyani?
Arse8 ina laana [emoji119][emoji174]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli itakua ana Supa nechelo pawa aiseee, haiwezekani mtu na akili zako timamu kabisa lakini ukianza kumsikiliza Masingeli unakua Msukule ghafla.Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!
Sawa ndugu mjumbe mwenyekiti wa ramli😂😂😂Invincibles kombe la dhahabu...nyny mnalo??....na leo tukishinda kesho mna draw nyny....hii Hali naiona kabisa