Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hyu hyu atatupa kombe🤠🤠....wacha tuone tutashikilia Bomba hadi lini
 
Ni Mimi tu au?Nilikuwa nacheki hii game kama vile nacheki Girona vs Cadiz. Not excited at all. Duuuh!!!Nimekata tamaa kabisa


Hakuna hisia kabisa, wakati tunawakosakosa, wanatukosakosa, tunawafunga. I was like "eeeeeh" kama Huey Freeman during interview with Herzog, if you know what I mean
 
Hyu hyu atatupa kombe
....wacha tuone tutashikilia Bomba hadi lini
Kwa foward ya kina Sakatonge, Matembele, Chai Kiazi na Alkasus ndio mnatarajia mje kubeba kombe?
Tafuteni kwanza Kocha wa kueleweka ndio muanze kufikiria kuhusu makombe, kwa huyo Mateka nawahakikishia mtafika mpaka phase 10 bila ya kubeba kombe lolote la maana.
Miaka yote furaha yenu itakua ni mwanzo wa ligi tu ila ligi ikishafika ukingoni mtakua mnakutukanana tu wenyewe kwa wenyewe humu na wengine wanakimbia jukwaa
 
Vijana wamechoka, Arteta ni kama jini kausha damu anaendelea kuwanyonya mpaka waseme
 
Sawa mkuu chonga ngenga....sisi hyuhyu anatutosha🤠🤠...Bayern wametutoa kwa ajili ya uzoefu wao tu...leo tumeshinda...wacha tuone na ndugu zetu Livakuku kesho watafanya nn
 
Frontline ya Jesus Trossard Saka Havertz imefeli ila Arteta ataendeleza majaribio kwenye gem ijayo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…