Kwa foward ya kina Sakatonge, Matembele, Chai Kiazi na Alkasus ndio mnatarajia mje kubeba kombe?
Tafuteni kwanza Kocha wa kueleweka ndio muanze kufikiria kuhusu makombe, kwa huyo Mateka nawahakikishia mtafika mpaka phase 10 bila ya kubeba kombe lolote la maana.
Miaka yote furaha yenu itakua ni mwanzo wa ligi tu ila ligi ikishafika ukingoni mtakua mnakutukanana tu wenyewe kwa wenyewe humu na wengine wanakimbia jukwaa