Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.
 
Msijali msimu ujao kwenye phase 5 mnaenda kukutana nae Madrid, Madrid atachagua mwenyewe apaki basi atolewe kwenye michuano kistaarabu au apishane na Teta ball achezee kono la nyani
Bado naamini Arsenal tim kubwa msimu wa kwanza CL tumetinga robo
 
Yani hawa watoto wasiokua!!!!! Utasikia kwamba "Mwakani tuatakua na Kikosi kizuri zaidi na tutachukua Champion League". Wengine utakuta wameshaenda kujificha Mapangoni tayari. Hali ikishatulia watakuja humu na kuendelea kufarikiana tena eti wanakikosi kipana.
 
Hongereni gunners, ni sehemu ya mpira. Huenda makosa yalitendeka first leg, tungetoka na positive results emirates ingekuwa rahisi huko Allianz arena kuwadhibiti.

Our time will come, that's for sure!!
 
Arsenal tim kubwa sana duniani. Ndio maana Kenge, Nyumbu na takataka nyingine zimejazana humu.

Si amini kama na msimu huu mnatoka mikono mitupu
. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja
 
Hivi kweli dunia nzima ina watu Bilioni nane. Nyie kwenye kutafuta attacking mid wa maaana mkaona Odegaard if all the players in the world kweli 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Afu si fresh tu, mnatema povu eet kisa tunasifia timu yetu.
Roho mbaya sana hi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…