Msijali msimu ujao kwenye phase 5 mnaenda kukutana nae Madrid, Madrid atachagua mwenyewe apaki basi atolewe kwenye michuano kistaarabu au apishane na Teta ball achezee kono la nyani
Huu sio msimu wenu wa kwanza CL acheni kudanganyana humu, kikubwa mshukuru tu siku hizi Wajerumani wameanza kua wastaarabu tofauti na miaka 8 iliyopita walipowagonga goli 10.
Yani hawa watoto wasiokua!!!!! Utasikia kwamba "Mwakani tuatakua na Kikosi kizuri zaidi na tutachukua Champion League". Wengine utakuta wameshaenda kujificha Mapangoni tayari. Hali ikishatulia watakuja humu na kuendelea kufarikiana tena eti wanakikosi kipana.
Hongereni gunners, ni sehemu ya mpira. Huenda makosa yalitendeka first leg, tungetoka na positive results emirates ingekuwa rahisi huko Allianz arena kuwadhibiti.
. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
Hivi kweli dunia nzima ina watu Bilioni nane. Nyie kwenye kutafuta attacking mid wa maaana mkaona Odegaard if all the players in the world kweli π€£π€£π€£π€£π€£π€£