Na ligi EPL msahau kunusa pua zenu kwenye title , fixtures zinazokuja mtakiona cha mtema kuni , ni makonzi na mbata tu mtatembezewa mpaka msimu uishe.
Mna wolves ,spurs ,Chelsea , halafu bado mna audacity ya kuongelea ubingwa .
Mtapigika na kuchakaa sana .
Loosers Efusiiiiii
Arsenyetoz ni loosers