Mimi nimelia nimeamua nicheke kwa hasira, kesho atakayenikwaa atajuta 🤣🤣🤣🤣🤣Unajua yan sielewag timu yngu tunakujaga kufeli wapi aloo acha kabisa naumia mpaka inabidi nicheke tu
vipi timu yako inaendelea na mashindano gani ya kimataifaHamis na genge lake wako wapi ?
We Hamis amkaa
Ninyi Kenge wazee wa aerio dueli mnadhani Bayern ni Burnley au sio ?
😂😂😂😂Mimi nimelia nimeamua nicheke kwa hasira, kesho atakayenikwaa atajuta 🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaotaka kugombana na mimi wote waje leo tumalizane kabisaaaa.!!!
Ass'anal Motto; Next season.Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Hatari 😂😂😂😂😂😂😂😂
kila mwaka tunasemaga hivi...........All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once againJapo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Arsenal ni mbwa tu🤣😂😂😂Umetoka Uefa sasa
Wazee wa Kono la Nyani poleni kwa kuchezea Kono la Sweta la Mjerumani.
Partey efusiiiiiiCheli kalio na mwani tesa mtulie
View attachment 2966826
Kijana city anapambana na madrid kivyaovyao wewe pumzika tu umetoka umetokaJapo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Leo ndo mwanzo na mwisho wa kuja na takwimu za kipuuzi.
Mara ohh Kai ana jua, ana press kushoto.
Hizo zote ni nonsense tupu tu,