zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Wale West Ham wametupiga pesa aisee. Na Chelsea kwa Kai pia wametupiga. Dawa yao inachemka. Tutahakikisha Kai mwenyewe anawapiga hat-trick wale kengeKing Kai mzee wa inverted pressing leo hajacheza?
Vipi bado mna mpango wa kuwaongezea Westham pesa kidogo kwa ajili ya Rice?
Wale West Ham wametupiga pesa aisee. Na Chelsea kwa Kai pia wametupiga. Dawa yao inachemka. Tutahakikisha Kai mwenyewe anawapiga hat-trick wale kenge
hakuna kitu kinauma kama kuanza msimu ukijua kuwa mwisho wake city atabeba tena taji sasa nini maana yakushindanaUKo sahihi mkuu. Hamisi sijui yuko wapi?
kama ku-overturn goli moja mkiwa anfield mlishindwa, tatu mtawezaKu overturn goli tatu tushafanya mara kibao mkuu
We kiazi tu huna lolote unalojua zaidi ya mihemuko au pengine unaendeshwa na akili za betting.. Sasa Emery na Aston Villa wanafanya nini kwenye ligi kama hawataki trophy.. Kuna makocha walishafanya mapinduzi makubwa kwenye soka na vikosi vya kawaida na wakaweka history kutokana na tactics zao mfano Ranieri na hapo jana kocha mchanga kabisa kwenye game Xabi Alonso na Leverkursen yake.. Mbona yeye hajafanya hicho ikizingatiwa hapo nyuma kuna baadhi ya wachambuzi walianza kuiweka Aston Villa kwenye title contender.. Pimbi moja umeliwa betting unakuja na hoja za mihemko.Mkiambiwa nyie ni kondoo huwa mnabisha, sasa unataka Emiry agombee ubingwa na Aston Villa?! Hata ukimpa Pep A.vila hawezi kutoboa.
Emiry amempita mbali sana Arteta. Yaani mliruka mkojo mkakanyaga mavi.
hakuna kitu kinauma kama kuanza msimu ukijua kuwa mwisho wake city atabeba tena taji sasa nini maana yakushindana
yani miaka 8 iliyopita liver kabeba mara 1 city mara 7
msimu unaanza watu wakubwa wakina Mourinho wanatabiri city ana 51% Liverpool 49% ya kubeba ubingwa mwaka huu
hapana top team mwakani tufanye kama alicho fanya Leverkusen uko kwa bayern ikibidi mmoja wetu either
Arsenal
Liverpool
man utd
Chelsea
vila
spurs
wafanye usajiri wamaana kuja kustop hizi harakati za huyu mkulima mwenye 115 ffp charges
Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H
Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49
japo mna advantage ya easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs
huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more matured kisha wawepo na points nyingi za kupambana na nyie
Arsenal ni kakikundi kawahuniAs long as arsenali habebi mimi nipo tayari city abebe hata miaka kumi mfululizo. Ibebe timu yoyote epl lakini siyo arsenali.
Hautakiwi kufanya hivyo Mkuu, ebu nistiri
Mkuu tupo pamojaSio Odegaard mkuu, Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wanadanganyana humu kua Kai Harvez ndio mchezaji wa kuleta makombe hapo Emirates, wanadai Kai ndio aliefunga goli kwenye fainali iliyowapea Chelsea ubingwa wa Uefa, hivyo Kai ana DNA ya makombe aliyotoka nayo the Blues na kuileta kwa G.gunners
#Once your bottlers, your always a bottlers.
Hautakiwi kufanya hivyo Mkuu, ebu nistiri [emoji12 mkorea uko alipo hali aliyonayo muda huu. hii ndo kitu pekee mtainua msimu huu anza kuifanyia mazoezi mapema 🤣🤣🤣
Daah. Aisee mmetuandama sana 😄😄😄A part from "tunabeba EPL this season" ni jokes gani umewai sikia fan wa Arsenal akisema🤣🤣View attachment 2964298