Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,077
Naona sasa hawa Aston villa wanaanza kuingia kwenye mfumo. Huu uchezaji wao ni suala la muda tu.
Humtendei haki, unataka akimbie kama kisinda? Huoni shughuli yake anayoifanya?Nipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioni
Pakua yaccine tv mzee, huwa haina tabu.Wadau nimedownload sco808 lakini chenga,msaada wa link
Wanazingua ilitakiwa tufunge mapema kabisaNipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioni
Hawajui wanaharibu mpango wa jezi wa mtu 🤣Wanazingua ilitakiwa tufunge mapema kabisa
anakuja kuwaliza huyoBailey ndio nilikuwa simtaki
Wananinyima jezi hawa 😂😂😂😂Hawajui wanaharibu mpango wa jezi wa mtu 🤣
kaka vip tena usiniangushe bwana mimi nishaharibu tayari maombi yangu yapo kwako thidi ya kipara shinda hata gol mojaTulitakiwa tuwe na 3 saivi
Tunajitahidi ila hatujatulia mkuu. Ila huyu Villa lazima tumuue.kaka vip tena usiniangushe bwana mimi nishaharibu tayari maombi yangu yapo kwako thidi ya kipara shinda hata gol moja