makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,743
- 103,654
Nipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioniHalf american makaveli10 kazi inaanza njooni
Nipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioniHalf american makaveli10 kazi inaanza njooni
Ushajaribu yaccine tv hii, huwa ni uhakika.Mkuu Castr msaada wa link nimeshusha app mbili ila hola
Humtendei haki, unataka akimbie kama kisinda? Huoni shughuli yake anayoifanya?Nipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioni
Pakua yaccine tv mzee, huwa haina tabu.Wadau nimedownload sco808 lakini chenga,msaada wa link
Wanazingua ilitakiwa tufunge mapema kabisaNipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioni
Hawajui wanaharibu mpango wa jezi wa mtu 🤣Wanazingua ilitakiwa tufunge mapema kabisa
anakuja kuwaliza huyoBailey ndio nilikuwa simtaki
Wananinyima jezi hawa 😂😂😂😂Hawajui wanaharibu mpango wa jezi wa mtu 🤣
kaka vip tena usiniangushe bwana mimi nishaharibu tayari maombi yangu yapo kwako thidi ya kipara shinda hata gol mojaTulitakiwa tuwe na 3 saivi
Tunajitahidi ila hatujatulia mkuu. Ila huyu Villa lazima tumuue.kaka vip tena usiniangushe bwana mimi nishaharibu tayari maombi yangu yapo kwako thidi ya kipara shinda hata gol moja