We either hate what we love or what we fearView attachment 2959917
Hapo unaambiwa yupo kwenye msimu wake bora kbs, yaani wamotooo. Akikutana na kina Luton anafunga tu.
Masingeli asiwaongopee hapa mlipgwa.
Bayern have crumpled this season don't be scared
Kai Harvetz miss EPLView attachment 2959917
Hapo unaambiwa yupo kwenye msimu wake bora kbs, yaani wamotooo. Akikutana na kina Luton anafunga tu.
Masingeli asiwaongopee hapa mlipgwa.
Kosa jingine la Raya, wakati wa kupiga penalty, uwa ana move mapema, kiasi cha kumfanya mpiga penalty asiwe na wakati mgumu kuchagua angle ya kuupeleka mpiraKipa alikosea, alitoka sehemu ambayo beki wake hajashindwa alikuwa ana asilimia 95 ya kuucheza ule mpira, hivyo alikosea kutoka vile, katoka kwenda kuucheza sio kujisogeza apasiwe kwa urahisi, hili ndio kosa la raya,
Tunakubali kukosea ni sehemu ya mwanadamu na kwangu nahisi kosa lile ni la kwanza kwake, hatusemi HAKUKOSEA, kafanya kosa nasi tunaona ni bahati mbaya.
hivi kwa akili tu ya kawaida unaamini arseanl ni ya kupigwa 4+Mwendo wa kono la nyani
ila uwaweza ukawa unapoint lakin maana 3-0 afu mtu yupo kwaoHawa liva walitudanganya wanachukua Europa
Zamani Atalanta walikua wanascore sana na kuconcede pia. Jana wamekomaa vizuriila uwaweza ukawa unapoint lakin maana 3-0 afu mtu yupo kwao
Dada habari, naomba matokeo ya jana kule anfield yalikuaje😂😂😂😂😂😂
Hivi hamjawazoea mashabiki wa Ar8
Masingeli huwa anawaona waone kila kitu ni easy
Yaani wapo kama motivational speakers,,they take things so easy.
Kuna dogo nimemwambia Jana kuwa Arse8 akichukua UEFA Nampa kiinfinix changu..yeye anipe kitochi.
Wewe haupo Brighton tena?Furaha yangu ni kuona Arsenyani wanatolewa UCL mapema. Kwenye EPL sina wasiwasi, next game wanakutana na mzee wa Good Ebening, bado wana London Derby: Chelsea & Spurs, hapo lazima wataacha points. Siku watakayokuja Old Trafford ndiyo tunamaliza kabisa matumaini yao msimu huu. 🤣
TROPHYLESS, AGAIN!!!
Naomba matokeo ya Atalanta kakaWana Arsenali wenzangu Jana tumeona jinsi gabriel na saliba walivyopoteana. Goli la kwanza kaunguza gabriel goli la pili kaumguza saliba yaani mtu ana dribble karibu yard 30 bila kukabwa. Hii inaonesha EPL saliba na gabriel wanaonekana bora sababu wanakutana na timu dhaifu sana.
And maybe asingeshinda, tusisahau gabi ni mzee wa BCMHapo unajisahaulisha kama Gabriel Jesus alikua ndio namba 9 yetu kabla ya kuumia na option ndio ikawa Kai acheze pale.
Kwa hayo magoli/assist Kai amefaidika zaidi kwenye ushindi wa 0-6, 5-0, 4-1, 0-3 ambazo hizo mechi zote kama angekuwepo Jesus angeshinda pia and maybe more.
Mbappe fair well itakuepo?hii prediction ndio ambayo nilikua naiona muda mrefu ila lakin kwa hio final im rooting for psg for mbappe's fairwell View attachment 2959733
Msalimie teni hagiMimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.
1. Carabao cup : ❌❌❌❌
2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa harakaKosa jingine la Raya, wakati wa kupiga penalty, uwa ana move mapema, kiasi cha kumfanya mpiga penalty asiwe na wakati mgumu kuchagua angle ya kuupeleka mpira
Tufafanulie jana Livakuku kwnn mmechana mikeka yetu...sio kuja kutupigia kelele hmu ndani tukipata Draw...nyny mmefumuliwa kabisa...Klopp mshenzi sana kapita na mkeka wanguWana Arsenali wenzangu Jana tumeona jinsi gabriel na saliba walivyopoteana. Goli la kwanza kaunguza gabriel goli la pili kaumguza saliba yaani mtu ana dribble karibu yard 30 bila kukabwa. Hii inaonesha EPL saliba na gabriel wanaonekana bora sababu wanakutana na timu dhaifu sana.
Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka
Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Portonina maana, mpiga penalty mzuri, akiweza kumsoma Raya, ana udhaifu eneo hilo.
Nina maana kwamba, kwa mpiga penalty mzuri, akim-study vizuri Raya, huo ndio udhaifu wakeIla mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka
Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Porto