Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kosa jingine la Raya, wakati wa kupiga penalty, uwa ana move mapema, kiasi cha kumfanya mpiga penalty asiwe na wakati mgumu kuchagua angle ya kuupeleka mpira
 
1. Carabao cup: ❌❌❌❌

2:EPL loading: FALSE HOPE 🔞

3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞

4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

ARSENAL VS ASTON VILLA ( Pre game Analysis)

✍🏾 Ni match Nyingine mbayo sio rahisi inahitaji utimamu mkubwa kwenye kuset Mbinu kiuchezaji.

✍🏾 Aston Villa Ya uni, ni moja kati team ambazo zipo vizuri kwenye build attacking ya kasi, wanafanya transtions ya mifumo haraka sana.

✍🏾 Unai Primary set up unamkuta akicheza 4-2-4 au 4-2-2-2, lengo kuoverload eneo la kiungo, na kuweka presha kwenye Lango mpinzani, kwa idadi kubwa ya wachezaji.

✍🏾 Unai 4-2-4 akifanikiwa kufika Robo tatu mwisho uwanja, mpinzani uwa anashift kuwa 3-2-5 lengo kuwa idadi kubwa wachezaji eneo la mpinzani wakijaribu kutafuta isolation, Overloading nk.

✍🏾 Pia Unai mdau game kutumia nguvu sana Kukosekana kwa Dogras Luiz ni pigo kwao kiasi fulani ila watu kama kina watkins ni threats Diaby, Mc ginn, na Bailey.

✍🏾 Arsenal Kwa vile villa anahitaji kumiliki kiungo basi sisi hatuna budi kufanya zaidi anacho kifanya kwenye build up.

✍🏾 Kuhakikisha Tuna mpin nyuma Villa kwa kutumia overload strategy kwenye build up Arsenal wanatumia Box midfield au Rhombus hii inasaidia kupata Spare man na mipira kusogea mbele inasaidia kuua press ya mpinzani

✍🏾 Hapa tunatakiwa kuwa makini kama Villa au sisi tukiamua kutumia Long balls basi tushinde second balls nyingi maeneo yao hatari tufanye shambulizi haraka

✍🏾 Kuhusu 4-2-4 villa basi sisi hapa tutakiwa kuinvert kwanini FB mmoja aweze kuongeza idadi wachezaji eneo l kati kati tukiwa na structure 3-3-2-2 au 3-5-2 hapa tayari tunaweza kuwaout number ila kocha anajua set up yake, kumbuka 3-5-2 ni kwa ajili kubypass tu tukifanikiwa kufika kwao tunarudi hapa 2-3-5 au 2-2-6.

✍🏾 Mwisho tunashambulia vile vile iddi kubwa wachezaji last line hii siraha kubwa kupata space kimbinu.

Amigos
 
Dada habari, naomba matokeo ya jana kule anfield yalikuaje
 
Wewe haupo Brighton tena?
 
Naomba matokeo ya Atalanta kaka
 
And maybe asingeshinda, tusisahau gabi ni mzee wa BCM
 
Msalimie teni hagi
 

Attachments

  • 20240406_221028.jpg
    137.3 KB · Views: 14
Tufafanulie jana Livakuku kwnn mmechana mikeka yetu...sio kuja kutupigia kelele hmu ndani tukipata Draw...nyny mmefumuliwa kabisa...Klopp mshenzi sana kapita na mkeka wangu
 
Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka

Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Portonina maana, mpiga penalty mzuri, akiweza kumsoma Raya, ana udhaifu eneo hilo.

Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka

Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Porto
Nina maana kwamba, kwa mpiga penalty mzuri, akim-study vizuri Raya, huo ndio udhaifu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…