Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kitoabu utamsikia anasema hii timu imefanya niwe mlevi
 
Mwaka juzi.

Liva inaongoza ligi.

Nyumbu wako nafasi ya pili.

Rio akasema timu yetu sasa imekua "We are joint top with liverpool"

Joint top. Ni nini hichi?

Huwezi amini nyumbu dunia nzima wakakariri hilo neno ma screenshots wakatuma wakitamka joint top.

Wakimaanisha eti wao pia ni wa kwanza kwakua points wapo sawa. Kwenye mpira ili kuamua nani anaongoza msimamo hua wanaanza points kama mnalingana yanakuja magoli.

Liva alikua amezidi magoli ndiyo maana akawa wa kwanza.

Hawa nyumbu walimaanisha nini walivyosema wanaongoza ligi kwa ushirikiano na Liver?

Ni miuijiza, lakini wakakomaa kwamba "We are joint top with liverpool"

Hawa siyo watu wa kawaida.
 
Rob Edwards on what makes Arsenal ‘formidable’:

“They give no chances away to the opposition teams. We saw them against probably the best team, a top, top team at the weekend & they limited [Man] City to very little, so they don’t give you anything.”

“It’s very clear in how they attack, but it’s really difficult to stop. They’re always there with good numbers & they can really suffocate you.”

“I think, maybe they’re the one team out of all of the three that are fighting [for the title], they can play any game — if it’s a physical game, a footballing game, a running game, whatever it is — they’ve got the answer. I don’t see any weaknesses.”
 
“I was once fined £5,000 for calling Tottenham fans wankers. The best £5,000 I've ever spent.” Ian Wright
 
Thomas Partey found Ødegaard 11 times in today’s game alone

Meanwhile, the last time Rice played the DM, he managed to find Ødegaard only 5x and the last Jorginho also played the DM, he also found Ødegaard 4x


Partey asiumie tu, Hakuna rangi wataacha kuona
 
Mbona chelkenge hawapost matokeo yao humu ya Jana kama manyumbu wanavyofanya?
Au wao na nyumbu lao Moja?
 
Hiki ulichoweka hapa Ambangile alikipresent hivi hivi kwenye Sports arena.
 
Hivi mkuu Hizi akili upo lindo au nyumbani?

Umeongea kitu uhalisia wa mazingira
fact
 
Hapa upo sahihi Kbsa mkuu
 
Endelea kuota ndoto nyevu mkuu
 
kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje.

Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa.
Hawa Kima labda FA wawatengenezee kombe la Pressing & overloading pamoja Duel ila kwenye hii michuano ya kuwania points, wasahau kabisa kuhusu kubeba kombe.
 
Hawa Kima labda FA wawatengenezee kombe la Pressing & overloading pamoja Duel ila kwenye hii michuano ya kuwania points wasahau kabisa kuhusu kubeba kombe. View attachment 2955617
FA na PGMOL wanatumia kila njama kutukandamiza lakini tunaenda nao jino kwa jino mpaka kieleweke. Manyumbu, pamoja na kubebwa kote, bado watu wanakomaa nao na kuwapiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…