whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
kubishana na shabiki wa chelsii na wenzao ni kupoteza muda broMmeshabadili beat sasahivi...mchana mlikuwa mnatupiga mikwara hapa kwmba tunaenda kufumuliwa kwlikwli...mliloombea halijatokea mnaanza kuja na mikwara ya kina Chelkenge na Manunu...ndugu zetu TAfuteni makocha wa kueleweka...Manunu na Chelkenge wte Watakula 3+...Spurs sio shida yetu..hao kina Aston Villa na Luton sijui wajiandae na kono la nyani...mwaka huu tusipobeba kwa point tutabeba kwa magoli...tabu ipo palepale....tunawaomba sana ikifika mechi ya Bayern mje kuwanga tena Ili tufanye yetu🤠🤠🤠
Sas
kuna mwamba alishasema hata kupewa salamu hawastaili.
tunasubiri zamu yao tutakapokuja kukutana nao