USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
"Who is Behind Mikel Arteta Revolution"
Tukiwa tunazungumza Mafanikio Arteta basi tusisahau kuna watu pia nyuma yake wanafanya kazi kubwa kwanzia mazoezini uko hawa si wengine ni Backstaff wake
Wapo wengi ila nitataja ambao wapo karibu zaidi nae Na majukumu yao
CARLOS CUETA: Huyu ni bwana mdogo sana miaka 28 tu ila coaching ability yake ni kubwa Arsenal walimtoa uko Juventus akiwa anafundisha U17 kabla hapo alikuwa Atletico madrid U17. Majukumu ya Cueta ni Kudeal na individual performances za wachezaji kuwatrain wachezaji kuelewa Tactical terms huyu ni Cueta
MIGUEL MORINA: huyu Arsenal ilimtoa uko Atletico Madrid ni mtaalamu wa mambo ya sayansi ya Michezo ( Sport science) majukumu yake ni analyst pia anafanya kazi kuwafanya wachezaji kuwa na high performances
ALBERT STUIVENBURG: Huyu ni kocha msaidizi Arteta na Mara nyingi anakuwa nae pale pembeni kwenye bench la ufundi, Uyu Arsenal ilimtoa uko Wales akiwa kocha msaidizi japo aliwahi kuwa kocha msaidizi Man united chini ya Van gaal baadae akaenda Genk beligium Na baadae Wales Kazi yake Mr Airpord uwa ni kuwasiliana na Backstaff wengine walio nje ya Bench kumpa views zao ili amfikishie Arteta ndio maana muda wote ana Airpord
INAKI CANA: Huyu Ni goalkeeping Coach Arsenal ilimtoa Brentford 2019 japo hapo kabla kapita vilabu kadhaa kwa kazi iyo iyo goal keeoing coach Kazi yake kuhakikisha makipa wetu wanakuwa trained kwenye ubora unaotakiwa kulingana na mahitaji mchezo Kawahi kufanya kazi na Raya Brentford ni moja watu waliopush sana Raya kusajiliwa
NICO JOVER: Huyu Arsenal walimtoa Man City Japo kawahi kufanya kazi Brentford pia Croatia national team huyu bwana kazi yake ni Kocha wa Mipira ya kutenga ( Set pieces) mfano kona, free kick, Penalt nk. Arsenal kwa sasa ndio team ina magoal mengi ya Kona ikipatikana Set pieces basi 75% kuwa goal kazi uyu kuwatrain wachezaji Sio kushambulia tu ata kukaba mipira kutenga
Amigos