Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Izi gape pasi moja ya partey au Jorginho kwisha kabisa
 
Carlos cuesta ni kama kawa Assistant coach baada ya kuondoka Steve Round, maana Arteta alikuwa na wasaidizi wawili, so Cuesta siku hizi naona kasogezwa karibu zaidi, na huyu dogo atafika mbali akikaza nyonga cuz anapata details nyingi from the best wakati akiwa na umri mdogo.
 
Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,

Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,

Sijawahi ona kocha wa hivi

Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Tutampiga vibaya sana round hii, acha apanie, aangalie sana hii Arsenal sio ya kupania kama huna quality. Mpira wa kukamiana ushapitwa na wakati. Tunauwezo wa ku control transition maybe we're the best in the world in this regard, wenzie wanatokagap hata shot on target hawana, hana mbinu Zaidi ya kuplay on the break, atatufanya nini mbwa huyu!
 
Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,

Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,

Sijawahi ona kocha wa hivi

Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
 
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
*apambane
 
Hizo bests of arsenal mara in attacking, scoring, defending hatukuziona....nusra tu za penalty
Porto waliweza kutuzuia tusitengeneze chances, lakini hata wao wametengeneza chances ngapi za magoli na wamefunga ngapi??

Kwanza approach ya UEFA hasa hatua za mtuano Huwa ni tofauti na kwenye ligi.

Man U mnaweza kucheza kama Porto?
Porto walikuwa hawaachi magape kwenye muundo wao, tofauti na nyinyi

Zile chances walizokosa liver, fikiria Arsenal anashambulia na wachezaji wa5
 
Unabishana na mtu ambaye timu ilishajichokea🤠🤠...halafu kukubali ukweli hataki anakaza kabisa mishipa ya shingo...Spurs na Villa watakuwa wajinga sana wakiacha hii timu ikashika nafasi ya nne
 
Yaani kuongoza ligi kwa tofauti ya point moja na una contenders 2 nyuma yako mnajiona mnajua kuliko wenzenu, je mngekuwa na uhakika wa kucheza fainali ya FA kama manyumbu si ndio tusingekaa jukwaani kwenu sasa?
Punguzeni matumaini msijekujiua mwisho wa ligi hopers.
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal defender Gabriel withdraws from Brazil squad due to injury, Brazilian Federation announces on formal statement


Juventus defender Bremer, called to replace Gabriel.
 
Ni kama Nunez na De Bruyne walivyojitoa..haya majeruhi yanaonekana ni ya mchongo...maana ukisomasoma unaona sababu kubwa ni precautionary....mwaka huu Kila kocha analinda bunduki zake kuelekea mwsho wa msimu maana hzi mechi za kirafiki hazina impact kubwa...mpk Sasa Tomiyasu, Benny White, Malgalhaes, Partey wte wanabaki Sobha Training Centre kuendelea na mazoezi
 
Sisi tunachojua mpk Sasa Manunu hawachukui kombe lolote na top 4 hawaingii
 
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
Msimu uliopita alikuw na mafanikio kuliko nyie nyani....style of playing, overlap hayo sio mafanikio wew tahira.
Yale yale ya CEO wa simba kweny mafanikio ya klabu anaweka hadi kufungua WhatsApp channel.

Msimu uliopita sisi tulikuwa successfully kuliko nyie kenge
Muulize huyo 😅@hamis77 wenu anajua hili ndio maana ana chuki na baldman na mtoto wake anthony
 
Nyumbu
Kenge

Hizi kima tutakuja kupiga Hadi tuue
 
Nina ID moja tu humu aisee

Manjesta acheni kelele narudia tena
Masingeli acha uhuni, muandiko wako sisi wote tunaujua humu.
Odegard ni ID yako mpya usilete ubishi, umeifungua juzijuzi tu hapo 16March2024.
Naona safari hii umeamua kuja na
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY ili kuvuta attention ya misukule ya humu.
Sasa ndugu yangu Masingeli kila msimu utakua unakuja na ID mpya?
Punguza uoga ndugu yangu, Arsenyau mnatakiwa mjiamini, tena mtembee vifua mbele huku ukikutana na shabiki yoyote wa soka utambe na kuongea kwa sauti useme "Sisi ndio Ma-Bottlers wenyewe"
 
Naona mkuu unamtembezea spana haswaa.

Huyu hamis77 ndio Aroon Arsenal pia.
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

"Rise through the Ranks for Mika Biereth"

✍🏾 Nafikiri Wengi wanamfahamu huyu ila ambao hawamu fahamu Mika Biereth kazaliwa England ila wazazi wenye Asili Ya Denmark na Bosnia

✍🏾 Mpaka sasa Mika anacheza team za vijana Uko Denmark

✍🏾 Kakulia kwenye Academy Rank za Fulham Msimu wa Mwisho akiwa Fulham alifunga goal 19 assits 13 ngazi Academy

✍🏾 Baada hapo Arsenal walimsajili Mika Biereth ni Striker aina yake uchezaji wengi wanamfananisha na Denmark mwenzie aliye Man united Hojland.

✍🏾 Mika Biereth sio striker kusubir tu mpira ana uwezo mkubwa kufanya link up na wachezaji wenzake

✍🏾 kule Conference League wana murate pakubwa msimu huu kati wachezaji wenye umri chini U21 Anaongoza kwenye kutengeneza nafasi yeye na Wirtz unaweza kuona kitu

✍🏾 Arsenal walimtoa mkopo Uholanzi , baadae Wakamtoa Mkopo Motherwell uko Scotland akafanya vizuri Janury Arsenal wakaona wampeleke kwenye ushindani zaidi Akapelekwa Sturm Graz uko Austrian Bundesliga anaendelea kufunga magoal

✍🏾 msimu huu team yake Stum Graz ilifanikiwa kufuzu hatua mtoano uko Conference league na Uyu bwana mdogo kaisha funga uko pia

✍🏾 Ili Swali linabaki kwa Arsenal na Uongozi wake wana manage vipi development yake msimu ujao

Amigos
 
Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.

Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda
Punguza makasiriko bwana mdogo, Nyumbu nae ni ntu kama ntu nyingine.
Hii ni burudani tu humu unatakiwa ufurahi, ucheke na kuenjoy huku ukipangilia mikakati ya kutafuta pesa, wewe ukijifanya uko serious sana utaishia kujitundika kwenye kamba kama walivyojitundika Arsenyau wenzio waliotangulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…