Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata Chelsea walikuwa wakikutana na sisi wanatufunga goli nyingi lakini sasahv si limegeuka TAWI letu🀠🀠...wale Bayern wakikubali goli 2 tu mechi ya kwanza...basi wajue washatoka
 
Hii siyo Arsenal ya kuweka akiba ya maneno. Kwanza hao mnaowaita magiant wenyewe wanatuogopa.
 
Hapa unamponda Rice na kumsifia Kudus

Kudus amecheza westham nusu msimu lakini ameweka legacy kubwa kuliko kenge Declan Rice ambaye amekaa westham misimu kibao
Kisha unakiri kwamba huyo huyo Rice kwa nusu msimu amekuwa key player kwa Arsenal, we mwenyewe unajielewa?

Hivi nyie ndugu zangu akiumia Rice huko international duties si mtatafutana Huku

1. Yaani Rice ambaye akiwa captain wa Westham na kuwapatia their first ever Europian title hana legacy ila huyo Kudus kwa nusu msimu unasema kaweka legacy, unafahamu hata maana ya neno legacy?

2. Kati ya Arsenal na Westham ipi ni club kubwa? Kama Rice katoka Westham akawa key player Arsenal na huyu aliyetoka Ajax ambayo ni kubwa pia kuliko Westham akawa key player Westham (average club), yupi amepiga hatua zaidi ya mwenzie?
 
Anachangamsha genge
 
Arsenal tuna team ya kucompete na timu ya aina yeyote.

Hii sio kama timu ya kipindi kile, ikikutana na baadhi ya opponents unajua kabisa tunafungwa.

Kufungwa tunaweza kufungwa lakini siyo kirahisi kama kipindi cha mzee wnger, hata Barcelona ilikuwa inafungwa
 
Mnafikiri kuna kina Burnley huko wakuwafunga tano?
 
Mimi nakuunga mkono hapo uliposema hili jukwaa linaonekana kama kijiwe cha kahawa.
 
Heee kwahiyo Bayern ni 8 ya pili
Man Utd tulizigonga hizi Kima goli 8-2 halafu Bayern akazigonga goli 10-2 na kupelekea kufurushwa kwenye michuano ya Uefa kwa kipindi cha miaka 8.

Tokea Arsenyau alivyogongwa na Bayern goli 10 imewachukua miaka 8 kurudi tena kwenye hio michuano, safari hii wakigongwa tena goli 10 basi tegemea kuwaona tena kwenye hii michuano miaka 8 ijayo ingawa mpaka dakika hii wenyewe ndio wapo Top on the table
 
@hamis7

Huyu huyu ndiyo size yetu
Masingeli sasa hivi anauma tu vidole vyake, kila akikumbuka zile goli 10-2 roho yake inalipuka.
Sasa hivi anajuta hata kwa nini mmefika robo fainali, anaona ni bora hata mngetolea kwenye hatua ya makundi kuliko fedheha mnayoenda kukutana nayo huko mbele ya safari.
 
Kitu ambacho hamjui ni kwamba.

Arsenal akimtoa Bayern utasikia hivi "Kwanza Bayern siku hizi imechoka"

Walileta mastori ya Porto, alivyotolewa wakasema "Kwanza Pepe mkubwa"

Hawakosi sababu.

Haya mafanikio kwao ni ndoto. Mtu yupo nafasi ya 10 ya 11. Na msimu ulioisha alidai sina michuano ya Ulaya mtanikoma. Na msimu ujao hatokua na michuano ya Ulaya tuone itavyokua.

Kuna wale kenge walitrick mtu akaja humu kushupaza shingo kwamba timu ina vision kuliko Arsenal. Na uzi wakaanzisha, na Almiron akafananishwa na Saka, Gordon na Martinelli, Isak na Jesus.

Leo hii wapo chini huko. Msimu ujao na wenyewe watakua hawana michuano ya ulaya, I hope watatoa ushindani locally.

Tuna watu wengi wana stress. Na wanatamani kupata sehemu wapumzike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…