Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Una roho ya kwann sana mkuu🤠🤠...tumepanda pale juu kwa jitihada zetu bdo mnatusakama hivi....shindeni na nyny mtufate tulipo mbona ni rahisi sana
 
Hawa Kenge wataleta sana vurugu humu , ni bora Aston villa ashinde ubingwa kuliko hawa mbuzi
Na ukame wao wa karne kutobeba makombe ,watapanua madomo yao sana
Ila mi nawajua hawa , hawa Arsenyetoz ni fungu la kukosa
Hawa pimbi labda wabebe vibuyu na si kombe



Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Na bado.
 
Usilolijua au labda umesahau, Arsenal hajapoteza hata mechi moja kwa timu kubwa msimu huu
Shida ya Arsenyo ni kushikilia bomba kwenye mechi za presha, msimu ulioisha mechi za mwisho za ligi mlikua mnapoteza kwa timu ambazo hata hufikirii kua hii mechi Arsenyau atapigika.
Kwa uzoefu wangu kati hizo mechi 7 Arsenyo akishapigika mechi moja basi tegemea draw au kupigika kwa mechi zinazofata.
Msimu uliosha zimebaki mechi 8 kumaliza ligi Arsenyo alikua anaongoza ligi kwa points 8 dhidi ya City aliekua nafasi ya pili, inabaki mechi moja ligi kuisha City anaongoza kwa points 8 dhidi yenu
 
Porto kwenye swala la 'duels' kila wakiguswa ilikua ni kujidondosha kupooza mchezo na kupoteza mda ni the same na kilichotokea jana
Ila wajue tu iyo jumanne ni kuanzia 4+ goals
Wanasema ndio mechi ilichezwa dakika chache sana, Kona zote walikuwa wanajidondosha ,refa anawapa faulo
 
Chelsea , manjesta,spurs sio mechi ngumu kwa Arsenal

Unamuhesabia manjesta asiyeweza kupiga hata pass 5, Chelsea anakuja home , Spurs hatutushi,

Brighton ana injury nyingi na dawa yake tulishaipata muda ,


Mechi ngumu ni vs man city tu
 
Nyumbu na kenge toa....hao wanakula 3+...gemu ngumu hapo ni Spurs na City tu
Mechi za mwisho za ligi msimu ulioisha hili jukwaa lilikua limejaa matusi ya wenyewe kwa wenyewe, kocha, wachezaji na timu yote kwa jumla, niamini mimi msimu huu kwenye mechi za mwisho ndio itakua maradufu zaidi, panapo uzima kama kawaida yangu mimi nitakua humu kuwasuluhisha na kuwakumbusha kua nyinyi nyote ni ndugu sio busara kutukanana humu

Msimu ulioisha katika kipindi kama hiki tulikua tunamshauri ndugu yetu verifaidi yuza kua tunawaombea mema mchukue ndoo ila bado mna mechi ngumu msijipe sana false hopes maana Arsenyo ni Arsenyo tu, muda wowote inaweza kuwaletea simanzi akawa anatujibu shit na mbwembwe kibao, ilipofika mwisho wa msimu tukawa tunamuona na yeye tayari ameshaingia kwenye mfumo

Jamani sisi kazi yetu ni kuwakumbusha tu kwa screenshots kama hizi.
 
Chelsea , manjesta,spurs sio mechi ngumu kwa Arsenal

Unamuhesabia manjesta asiyeweza kupiga hata pass 5, Chelsea anakuja home , Spurs hatutushi,

Brighton ana injury nyingi na dawa yake tulishaipata muda ,


Mechi ngumu ni vs man city tu
Masingeli banaaa, tayari nimesha screenshot kwa matumizi ya baadae ya ofisi, kikubwa Masingeli tunakuomba usilikimbie tu hili jukwaa pendwa wakati ligi inaelekea ukingoni
 
Ww weka mapichapicha yte ila kipigo kwenu kipo palepale...labda kabla hatujakutana mbadilishe kocha...Manunu na Chelkenge ni timu ambazo hazijui zinataka nn.... Brighton hawana mfumo mzuri wa ulinzi...Spurs mwaka jana walikutana na kitu kizito pale kwao hvyo wanajua wakileta ujinga nn kitawapata...mechi ngumu ni City tu...Hawa inatakiwa tucheze kama tulivyocheza nao mechi mbili za nyuma walau tunaweza tukawadunda
 
Tukishachukua ndoo tu, tutaanza updates na news za usajiri
Na events za pre-season

Kuwa na amani nyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…