Ukimsikiliza Arteta anavyomuongelea Raya namna anavyoleta utulivu pale nyuma ndo utaelewa kwnn leo walikuwa kama hawajatulia kidogo...Ramsdale huwa kama ana wenge hivi...na hii inapelekea kusababisha makosa na kwa wengine then tunafungwa...yule Aondoke aisee hatumtaki🤠🤠🤠...
Mumeshascreenshot msimamo? Kama bado basi kila shabiki wa Arsenal afanye kuscreenshot msimamo ili kesho muda kama huu awe anaangalia na kusema "Jana tuliongoza Ligi".
Mumeshascreenshot msimamo? Kama bado basi kila shabiki wa Arsenal afanye kuscreenshot msimamo ili kesho muda kama huu awe anaangalia na kusema "Jana tuliongoza Ligi".