BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Hii sikuimanya first time. Refa aliboronga wakata Konate limejifanya limeumia ndani ya boxHizi mbeleko zitakuja kufeli.
Soon shortcomings zao zitacatch up
Hii sikuimanya first time. Refa aliboronga wakata Konate limejifanya limeumia ndani ya boxHizi mbeleko zitakuja kufeli.
Soon shortcomings zao zitacatch up
Tunamnywa chuma 4 huyuTupo tupo. Wakati huo Porto walikiwa wanapasha misuli jana. View attachment 2923950
Lala mapema tu kaka...utaishia kusonya kwa hasira ndugu yangu baadae🤠🤠🤠...biashara zetu za kuanzia 4 zipo palepale leoFriends of Shefield tumeweka kambi hapa leo mtaeleza yani
Ilikua mechi ya kimiyeyushoHii sikuimanya first time. Refa aliboronga wakata Konate limejifanya limeumia ndani ya box
Hua najiuliza vipi kama Partey tungekutana naye akiwa na miaka 26Partey on instagram.View attachment 2924288
FiksiNina theory:
Premier league na FA wanapenda 'stories za legacy', je kuna uwezekano wakatamani kumsaidia Klopp ashinde ligi kama wanavyojitahidigi kutuminya sisi tusishinde?
Without injuries, we'd have been far.Hua najiuliza vipi kama Partey tungekutana naye akiwa na miaka 26
Hakuna kitu kama hicho mkuu, sisi tuendelee kushinda mechi zetu.Nina theory:
Premier league na FA wanapenda 'stories za legacy', je kuna uwezekano wakatamani kumsaidia Klopp ashinde ligi kama wanavyojitahidigi kutuminya sisi tusishinde?
No mercy.Najua sisi tunapenda kuharibu wakati mbovu. Mashabiki wanategemea tushinde halafu sisi tunaleta masihara. Leo tusifanye huo ujinga. Sheffield anapambana asishuke daraja ila siyo kazi yetu sisi kumhurumia na kumsaidia kupata points kama tulivyofanya kwa kina Southampton msimu jana halafu matokeo yake sisi tukaumia na wahuni wengine wakawabonda na kuwashusha vile vile.
Tuwapige hawa jamaa na tuwapige kipigo kizito
🤣🤣🤣 pia sio kama tunawatisha hapana, wakati jana mkishangilia ushindi wa Mancity kule Ureno Fc Porto nae alikua anafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Benfica.Najua sisi tunapenda kuharibu wakati mbovu. Mashabiki wanategemea tushinde halafu sisi tunaleta masihara. Leo tusifanye huo ujinga. Sheffield anapambana asishuke daraja ila siyo kazi yetu sisi kumhurumia na kumsaidia kupata points kama tulivyofanya kwa kina Southampton msimu jana halafu matokeo yake sisi tukaumia na wahuni wengine wakawabonda na kuwashusha vile vile.
Tuwapige hawa jamaa na tuwapige kipigo kizito
Nina theory:
Premier league na FA wanapenda 'stories za legacy', je kuna uwezekano wakatamani kumsaidia Klopp ashinde ligi kama wanavyojitahidigi kutuminya sisi tusishinde?
Baada ya kuangalia pira gumu kwa takribani wiki nzima, leo ni siku ya kusafisha macho na Sexy Futbol la vijana wa Arteta
#COYGView attachment 2924417
Yule mhuni aliewabeba kuku juzi tutakua nae weekend kwenye VAR
✍🏾Paul Tierney will not referee a Premier League game this weekend and will instead act as VAR for Arsenal vs Brentford.