Arsenal (The Gunners) | Special Thread

City leo ataingia na hasira kutaka kucover gap la magoli.

Morali ya Brentford ipo chini pia.

Tho watatamani kujitutumua ila kinyume na basi na kaunta sioni wakicheza style nyingine
 
City leo ataingia na hasira kutaka kucover gap la magoli.

Morali ya Brentford ipo chini pia.

Tho watatamani kujitutumua ila kinyume na basi na kaunta sioni wakicheza style nyingine
Naona kang'ang'aniwa bado!
 
Team ambayo imefika champions league final mara moja inatamba kumpiga bingwa wa kihistoria zaidi ya mara 12 ,hii unaongelea movie sio champions league night , MADRID kwenye Uefa ni dude la kutisha ,ni wanaume kwelikweli
 
| FC Porto goalkeeper Diogo Costa on Arsenal:

“Of course they have the weak points. I'm not going to tell what we are going to do.

“If they are the favourites (to win the Champions League) they need to show us they are one of the favourites.”

[Hayters TV]

Hii comment nitaji-tag mida ya saa 6 usiku
 
Arteta on Fabio Vieira:

"Really happy with him, but at the same time sad. It's been a tough period for him. But he's a player with enormous talent and we're going to get the best out of him."

The baller
 
Martin Ødegaard has played the most accurate through balls of any player in Europe’s top five leagues this season (12)


Arsenal’s magician 🪄
 
Positional play ni zile movement za Kai, ode na Trossad

Overlap ni movement za white kwa saka

Overload ni pale white anapoingia midfield


Porto akipigwa chini ya tatu, niulizwe mimi
 

Zawadi atakayepatla hii quiz:​

Can you name Arsenal's team from their last win over Porto?​


HintAnswers
Spanish goalkeeper who also had a spell at Watford
France right-back who joined Manchester City after his contract expired
England centre-back who made the brave switch from Spurs to Arsenal
Belgium defender who went on to win four league titles at Barcelona
Another France defender who left for Manchester City
Cameroon midfielder who left for Spain before a loan spell at West Ham
French midfielder who scored, but, guess what? He joined Manchester City
France midfielder who struggled badly with injuries
Czech Republic midfielder who rejoined his boyhood Slavia Prague when he left Arsenal
Russia forward who is best remembered for scoring four at Anfield

Denmark striker who completed a hat-trick with stoppage-time penalty
 
Hahaha bila kugoogle nimewapata hawa.

1)Almunia
2) Sagna
3) Sol Campbell
4) Vermaelen
5)
6) Song
7) Nasri
8)
9) Rosicky
10) Arshavin
11) B52
 
Hahaha bila kugoogle nimewapata hawa.

1)Almunia
2) Sagna
3) Sol Campbell
4) Vermaelen
5)
6) Song
7) Nasri
8)
9) Rosicky
10) Arshavin
11) B52
Kwahiyo Gael Clichy na Abou Diaby ndiyo siwaelewi? Kwanza sikuwahi kujua kama Diaby ni mfaransa nilifikiri ni muafrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…