Hayaa kama kawaida kudili na kona na krosi ni issue kubwa kwetu, sasa tumejiongezea pressure zisizo za lazima
It's a very simple script, "put the ball inside Arsenal box, and someone, somehow will score".
Arse8 hata hawa jamaa wanaotaka kutimua kocha wanawatoa kamasi
to be fair it looks a touch offside....anyway, a benefit of doubt for the bottom of the league team.
usilale mkuu mpira dakika 90.Duuuh manne..ngoja nilale
Arse8 hata hawa jamaa wanaotaka kutimua kocha wanawatoa kamasi
Mimi sijui Braza Arsene Wenga nimkosea nini..namsalimu hajibu..aya bana.
Braza Quest, poleni sana...Kweli, duh! poleni....Wacha Boy...usijali, n bahasha za SAF hizo.
gooooooooooooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaal!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huu sijui niuiteje.... MKOSI, NUKSI au KIMAVI... yote sawa... Tunajifunga Goli mbili kwenye same game????? Really??? It doesnt click but it counts on this score board..... Hii inanikumbusha kitabu cha darasa la tatu miaka hiyo kulikua na story ya SADIKI NA SIKIRI........ Plae SIKIRI alipotoroka home kwa UVIVU na kupanda basi bila kuwa na nauli...............
It's a very simple script, "put the ball inside Arsenal box, and someone, somehow will score".
Nashukuru bana... its true nahitaji pole........... THANX ALOT HATER......