Goli la trosard ni la kupewa mke😂🤣Ni vizuri false hopers wakipata matumaini kidogo..
Swala la muda tu mzee wanguAsante Mungu tumeshasahau matatizo ya Arteta
Ni vizuri false hopers wakipata matumaini kidogo..
Na wamekimbia baada ya ushindiView attachment 2879762
Haters mnaumia sana
Wape na hii ya highest scoring defender..View attachment 2879762
Haters mnaumia sana
Robin van Mpuuzi Mmoja katika ubora wakekwann mpumzikeView attachment 2880308
Huyu mpuuzi na sanchez walikosa kitu kinaitwa "integrity"Robin van Mpuuzi Mmoja katika ubora wake
Kabisa mkuuHuyu mpuuzi na sanchez walikosa kitu kinaitwa "integrity"
Walikuwa materialistic.kuna wakati thamani ni bora kuliko gharama
Hata hivyo tusimlaumu. Alikuwa ametushikisha makali tukalazimika kumuachia. Akaenda kushinda kombe lake moja la kumbukumbu na habari yake ikaishia hapo.Huyu mpuuzi na sanchez walikosa kitu kinaitwa "integrity"
Walikuwa materialistic.kuna wakati thamani ni bora kuliko gharama


kikubwa ndoto ili kamilikaRobin van Mpuuzi Mmoja katika ubora wake

Hachukui zaidi ya wiki 3 atakuwa amerudi alikotoka.Uncle Thomas Teye Partey Octopus is baaaaccckkkk 🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hii habari nyumbu na Kenge hawatoifurahia
View attachment 2882589
Ujuaji na ujeuri mwingi vilimpoteza mapema kwenye game, wachezaji wengi wemye asili ya uarabu wanajua boli na ni jeuri, kiazi cha kina samir nasri, mguu alikuwa fundi, nakumbuka aliwahi gombana na mzee harry redknapp pale QPR alikuwa ni faza mixer kitambi kilimtoka.Nimeangalia kisa cha Adel Taarabt, nakumbuka tulihusishwa naye kipindi fulani. Talented player ila alikuwa mbinafsi na mambo ya kibongo ya kupenda chenga zisizo na tija. Sometimes anapata mpira half yake, anapiga mtu tobo, anapoteza mpira, wanapigwa goli.
Kocha wake, Warnock alimuambia nitakuweka uwanjani tu, ukiharibu mechi hii, nitakuweka ijayo, nakadhalika.
Halafu akawaita timu nzima pembeni, bila ya Adel, akawaambia 'yeyote atakayampa Adel mpira kwenye half yetu anapigwa fine ya pauni 50'. 😀😀
View attachment 2882489
Huyu pancha nyingi saanaUncle Thomas Teye Partey Octopus is baaaaccckkkk 🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hii habari nyumbu na Kenge hawatoifurahia
View attachment 2882589