Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii ni kweli au??
BREAKING NEWS: Coming from Fabrizio Romano this morning. One-time Ballon D'or Winner Karim Benzema has finally signed a 6-month loan contract with this stunning Premier League club.

Welcome to Emirates Big Benz!!
FB_IMG_17056034112714278.jpg
 
Timu yangu pendwa Arsenal ningeweza kuongea na kocha Arteta ningemshauri hivi aache kufundisha timu kucheza kivulana bali wacheze kiume.Bado kuna utoto mwingi arsenal ya arteta....ajifunze kwa Liverpool.....kuna muda unaitaji points sio show game
 
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi
 
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi amanita mguuni
 
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi
Unashabikia timu hata info za timu huna? Hujui kua uyo Vieira alikua majeruhi?
 
Kesho ni vs crystal palave, game ya mapema, mara nyingi huwa zina matokeo ya hovyo sana.
 
TanzaniaRwandaKenyaUgandaTanzania Again

Its official, Arsenal Africa Fans Festival launch for 2024

Tukutane Hekima Garden saa 5 kamili asubuhi hii


Makamu wa Rais wa Arsenal Tanzania nitakuwepo


#TurudiDar2024 #ArsenalAfricaFestival2024
20240120_094119.jpg
 
TanzaniaRwandaKenyaUgandaTanzania Again

Its official, Arsenal Africa Fans Festival launch for 2024

Tukutane Hekima Garden saa 5 kamili asubuhi hii


Makamu wa Rais wa Arsenal Tanzania nitakuwepo


#TurudiDar2024 #ArsenalAfricaFestival2024View attachment 2877044
🤣🤣🤣 Mwaka wa 20 huu bila ya Epl wala kombe lolote la maana, timu tokea limeanzishwa miaka 800 iliyopita mpaka leo hii haijawahi kushinda kombe lolote la Ulaya halafu eti mnafanya festival, Masingeli hayo ni matumizi mabaya ya festival.
Hizo Festival wanatakiwa wafanye kina Mancity, Liverpool, Chelsea au Man Utd, sasa Arsenyau mnafanya Festival kwa lipi haswa au kuwin aerial duel na kufanya pressing na overloading pamoja na positional interchange?
 
Back
Top Bottom