Tumemiliki possession asilimia kubwa na tukiendelea hivi hawa Blackburn watachoka dakika za mwisho-mwisho tutaingiza Walcoltt atawamaliza, Koscielny yupo slow kidogo na Gervinho nae anajituma ila maamuzi yake wakati mwengine sio sahihi, kama mara mbili hivi alikuwa apasie square pass kwa RVP yeye alijaribu kufunga mwenyewe. Leo Arshavin anajitahidi sana
Sijamalizia kuandika Arteta ametuinua safi sana