hamis77 yupo SanaHahaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamis masingeli yuko wapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shida sio mbinu sasa mchezaji kama kai, nketia,orde na huyo mwingine kawa kama rashindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamis masingeli yuko wapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba
West Ham (H),
Fulham (A),
Palace (H) and
Nottingham Forrest (A) [emoji106]
This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious [emoji1666]
Lets get it [emoji837][emoji836]️
Sio rahisiZimekimbia uzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa sasa Dunia ina uhaba wa world class coaches pamoja na World class goal scorer-waliobora katika top 5 ligi bora duniani sidhani kama wanazidi wa 5 (Janga sana hili)
Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba
West Ham (H),
Fulham (A),
Palace (H) and
Nottingham Forrest (A) [emoji106]
This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious [emoji1666]
Lets get it [emoji837][emoji836]️
Hahaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wasijesema haukuwaambia
Utakufa kwa presha.Hii timu yetu sio ya kuichukulia serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani Hamis yupo holiday? Tumekumbuka vitu kutoka kwake mambo ya intensity, high pressing , mid block, counter attack , false nine n. k. Mechi mbili tu zitunyime uhondo ajitokeze tu.