hamis77 yupo SanaHahaaaaa,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
Hamis masingeli yuko wapi ?
Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
shida sio mbinu sasa mchezaji kama kai, nketia,orde na huyo mwingine kawa kama rashindi
Hahaaaaa,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
Hamis masingeli yuko wapi ?
Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba
West Ham (H),
Fulham (A),
Palace (H) and
Nottingham Forrest (A)
This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious
Lets get itοΈ
Sio rahisiZimekimbia uzi
Kwa sasa Dunia ina uhaba wa world class coaches pamoja na World class goal scorer-waliobora katika top 5 ligi bora duniani sidhani kama wanazidi wa 5 (Janga sana hili)
Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba
West Ham (H),
Fulham (A),
Palace (H) and
Nottingham Forrest (A)
This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious
Lets get itοΈ
Hahaaa
Wasijesema haukuwaambia
Utakufa kwa presha.Hii timu yetu sio ya kuichukulia serious.
kwani Hamis yupo holiday? Tumekumbuka vitu kutoka kwake mambo ya intensity, high pressing , mid block, counter attack , false nine n. k. Mechi mbili tu zitunyime uhondo ajitokeze tu.